Kwa anayewafahamu wanawake wa kimakonde

Kwa anayewafahamu wanawake wa kimakonde

Peter jaluo

JF-Expert Member
Joined
Nov 10, 2013
Posts
1,750
Reaction score
253
Natakaniowe msichana nimakonde mwenye kujua Tabia Zao pls anijuze kabla cjachukua mahamuzi ya kufanya hivo nategemea toka kwenu ndugu zangu
 
Ukitegemea mawazo ya humu mkuu hutaoa! Kwa mfano tukikuambia kuwa wamefundishwa kutokuwa na mwanaume mmoja utafanyaje? Yaani wao ni mafiga ma3. Jitegemee mkuu usingoje kupewa ushauri humu jamvini!
 
Ukichimama nchale, ukikimbia nchale, ukigeuka nchale, ukikaa nchale, ukilia nchale, ukicheka nchale...uchimeze wala uchimung'unye...

haya nenda kaoe...
 
We muoe tu kama kweli umempenda nae kakupenda mambo ya kabila sio cgezo
 
Ukichimama nchale, ukikimbia nchale, ukigeuka nchale, ukikaa nchale, ukilia nchale, ukicheka nchale...uchimeze wala uchimung'unye...

haya nenda kaoe...
575583_505907989457681_421588064_n.jpg
 
Ukitegemea mawazo ya humu mkuu hutaoa! Kwa mfano tukikuambia kuwa wamefundishwa kutokuwa na mwanaume mmoja utafanyaje? Yaani wao ni mafiga ma3. Jitegemee mkuu usingoje kupewa ushauri humu jamvini!

Asante mkuu
 
Kama unataka kuoa oa. Mi niko nao huku ntwara mhh majanga.
 
Tyta

Haya sasa ngoja tukupe rambirambi mapema ili ukifa huko uwe umefaidi mwenyewe
 
Last edited by a moderator:
Sijui wewe umeweka vigezo gani kwako akiwa navyo mwanamke ndio anakua bora kwako.

Lakini wamakonde walio wengi.
1.ukiwatuliza wanatulia
2.hawana tamaa za kijinga
3.hawapendi makuu
4.elimu kwao haipo
5.wengi wao wanatoka ktk familia za kipato cha chini jiandae kua mlezi wa familia ukweni.
 
jitoe muhanga, kitu gani? kwanini uwe mwenyewe? mtalea wengi na kufaidi wengi pia.
 
Kama unataka kuoa oa. Mi niko nao huku ntwara mhh majanga.

Mkuu nipe habari yao Mimi cjawasoma vzri heri wewe ulioko huko dem ni mng'indo sasa cjui km naweza ingia pabaya maana ukimweka ndani baada ya mda matatizo kibao Niko naye lkn kilawiki unaambiwa kuna shughuli siwaelewi vzri nisaidie mkuu au nimpige chini
 
hahahahhh dah...jf bwana raha sana...mtu anaomba ushauri mnamwonyesha mishale..na kumtajia rambirambi....
 
Back
Top Bottom