Kwa anayeuza laptop

Moyibi

JF-Expert Member
May 11, 2012
1,054
710
naitaji laptop ya kununua ingekuwa pouwa sana kama ukiweka full specification ya laptop yako.!! Na bei ikiwezekana au waweza ni Pm
 
naitaji laptop ya kununua ingekuwa pouwa sana kama ukiweka full specification ya laptop yako.!! Na bei ikiwezekana au waweza ni Pm

Teh teh teh kijana umepata bum nini???
kwa kuanza tu, una bei gani???
 
khaaa yaaani hata chuo hujafika bado unataka laptop hahahahha wewe acha ujinga waza kula kwanza wewe
 
ila pia inategemea na matumizi yako mkuu ukumbuke more processor more kula chaji. Kama sio mpenz wa magame makubwa na software kubwa kama za video editing na unataka laptop inayokaa na chaji 6 hours then lenovo g575 ni yako with amd fusion processor 1.6 ghz dual core ram 3gb hard disk 320gb ikiwa na radeon gpu ilounganishwa na processor.

Hii ni laptop ya wanafunz na cha zaidi bei yake ni kama laki 5 mpyaaaaaa.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom