Geezzle JF-Expert Member Jul 25, 2012 849 267 Sep 25, 2012 #1 Ni moja ya koz ambayo ningewish kuisoma,karibun kwa michango.
Wi-Fi JF-Expert Member Aug 30, 2011 2,091 1,378 Sep 25, 2012 #2 hakikisha unasoma na kufaulu vizuri hesabu itakua vizuri zaidi kama utakua unasoma EGM!
Geezzle JF-Expert Member Jul 25, 2012 849 267 Sep 25, 2012 Thread starter #3 Waweza fanya kaz ipi?!je future yake ipoje kbongobongo?!
TZ boy JF-Expert Member Jan 11, 2012 625 181 Sep 25, 2012 #4 Yakwangu hiyo wewe niko EGM daily naiota uwiii ngoja nikatembeze PURE II sasa!!!