Kwa anayejua kwa undani khs "Actuarial science" na future yake kwa Tz,tafadhali sema nami.

hakikisha unasoma na kufaulu vizuri hesabu itakua vizuri zaidi kama utakua unasoma EGM!
 
Waweza fanya kaz ipi?!je future yake ipoje kbongobongo?!
 
Yakwangu hiyo wewe niko EGM daily naiota uwiii ngoja nikatembeze PURE II sasa!!!
 
Back
Top Bottom