wadau me kuna best yangu anahitaji chumba na sebule mwenye nyumba asiwe anaishi humo humo, isiwe na wapangaji wengi na anataka iwe maeneo ya mabibo/ubungo/magomeni au sehemu yoyte ambayo inakuwa rahisi(gari moja) kufika posta mpya coz ndiko anakotafutia riziki ya kila siku.analalamika madalali wanakula buku tano yake(kama mara nne hivi) then wanampeleka kwenye nyumba ambayo wanajua kwa maelezo yake haimfai.yaani unawaeleza may be nyumba iwe inafikika kwa gari,iwe karibu na barabara, isiwe na wapangaji wengi ect wao wanakupeleka nyumba ya bondeni na hapo barabara ipo may be zaidi ya 1km....just imagine hata hiyo gari ya kushusha mizigo unaiacha 1k unaanza kubeba mzigo mmoja baada ya mwingine hadi uje kumaliza kupakua vyombo vyako vigimbi vitakuwa vimeongezeka na matatizo mengine kibao!!!!!!in short madalali wengi ni wahuni sana.....