DCONSCIOUS
JF-Expert Member
- Oct 4, 2010
- 1,269
- 473
Nataka kununua Tablet ya Android 2.2 lakini siijui kiundani hivyo naomba msaada wako unae jua Ubora/mazuri na Mabaya/mapungufu ya Android 2.2 .Kwani naogopa kuingia kichwa kichwa nisije kuingiliwa kwani sijui hata bei yake dukani.