Kwa anaepajua Mbekanyira ipo wapi?

Kwa anaepajua Mbekanyira ipo wapi?

katoko

Member
Joined
Jan 4, 2015
Posts
18
Reaction score
6
Habari,

Naomba mnielekeze shule ya sekondari Mbekanyira ipo wapi? Je ni mjini au vijijini?
 
Habari,Naomba Mnielekeze Shule Ya Sekondari Mbekanyira Ipo Wap? Je Ni Mjini Au Vijijin?

Ni mbekenyera-Ni Lindi au Mtwara vijijini.Fika Mtama Lindi vijijini au Ndanda Uliza mbekenyera.
 
Ni Mbekenyera, Mkoa wa Lindi, Wilaya anayotoka naibu waziri wa Elimu Tamisemi Mhe Kassim Majaliwa, ni wilaya ya Ruangwa, Panda mabasi pale mbagala yanayokwenda Ruangwa, Yapo kama 3 hivi, Kuna Wifi Coach, Saadia Line na SB. Ila basi zuri ni Saadia Line, shs 25'000. Fika Ruangwa stendi utapanda Hiece au Noah utakwenda Mbekenyera.
 
Nakutoka Ruangwa Mpk Mbekenyera Shilingi Ngap Nauli?
 
kutoka rwangwa mbekenyera umbali kilomita 9, nauli ya noah/hiece kati ya 1000--2000 au pkpk 5000--7000
 
Ni Mbekenyera, Mkoa wa Lindi, Wilaya anayotoka naibu waziri wa Elimu Tamisemi Mhe Kassim Majaliwa, ni wilaya ya Ruangwa, Panda mabasi pale mbagala yanayokwenda Ruangwa, Yapo kama 3 hivi, Kuna Wifi Coach, Saadia Line na SB. Ila basi zuri ni Saadia Line, shs 25'000. Fika Ruangwa stendi utapanda Hiece au Noah utakwenda Mbekenyera.

Jogoo la bibi siku hizi halipo?
 
Ni Mbekenyera, Mkoa wa Lindi, Wilaya anayotoka naibu waziri wa Elimu Tamisemi Mhe Kassim Majaliwa, ni wilaya ya Ruangwa, Panda mabasi pale mbagala yanayokwenda Ruangwa, Yapo kama 3 hivi, Kuna Wifi Coach, Saadia Line na SB. Ila basi zuri ni Saadia Line, shs 25'000. Fika Ruangwa stendi utapanda Hiece au Noah utakwenda Mbekenyera.

Mkuu umenikumbusha enzi hizo nilikuwa hayo maeneo..
 
Umenikumbusha tulikuwa na Back 3 akiitwa mbekenyera.
 
Mkuu alisoma Masasi day huyo?kama ndiyo nipo nae Arusha kwa sasa,alihamia toka huko Mbekenyera tukambatiza hilo jina,bado anapiga ball

huuuuu hako ka shule ndo nilichaguliwaga but nkatoka km kawa we nenda tu
 
Back
Top Bottom