Acha utapeli line zinatolewa bure mimi mwenyewe nilikuwa natafuta na nikawahi kutoa tangazo hapa kuwa nataka line kuna mtu wa tigo akanambia ni bure nisusumbuke.
Wewe kama umeshindwa rudisha tigo
Till ya Tigo kuipata kwa Dar toka watu wa tigo ili ufanyie kazi Dar sidhani kama wanatoa.Acha utapeli line zinatolewa bure mimi mwenyewe nilikuwa natafuta na nikawahi kutoa tangazo hapa kuwa nataka line kuna mtu wa tigo akanambia ni bure nisusumbuke.
Wewe kama umeshindwa rudisha tigo
hakuna kitu cha bure ndg yangu
Till ya Tigo kuipata kwa Dar toka watu wa tigo ili ufanyie kazi Dar sidhani kama wanatoa.
Ukihitaji lazima ununue kwa watu wanaotaka kuachana na kutoa huduma,kama mdau huyu nukta.
Hapana line za tigo pesa sio bure hata laini ya kawaida inauzwa
Tangazo, kwa anaehitaji line ya uwakala ya tigo, ni ya uhakika na sio ya magumashi. Kwa waliopo DSM atakuja kuichukulia ofisini kwangu ili kumuondolea hofu ya kutapeliwa. Bei ni 250,000 kama unahitaji ni pm kwani bei ni rahisi mno usiikose.