Mi nimebadilisha ni aibu nahsi migomo nayo inachangia
Mkuu huenda sio wanachuo wale sikuhizi kila kituni mapishi
Wanatoka Chuo gani/kipi?
Hakuna mwana chuo pale boda boda wale
Ungeangalia malumbano.ya wiki iliopita nafkir ungelia kabisaa...mada ilihusu kushuka kwa tsh thid ya dola...yaan wanachuo wa U.D na Ardhi walikua wanabwabwaja tuu na kushindwa kujenga hoja juu ya nini kifanyike kuinua shilng yetu...afu wengi wao walijitambulisha kama wanauchumi....Afu kuna mmoja yuko serius kabisa anataja IFM badala ya IMF....Duh nliona aibu sana asee.
Kusoma ili ufaulu ndiyo tatizo.
Hakuna mwana chuo pale boda boda wale
Ndo wasomi wanaotegemewa na ccm
Walio wengi wanajitambulisha ni kutoka UDSM.