Hapo itabidi utimbe chuo unachotaka kwenda ule nao dili wakusajili AF ndo watume jina lako tcu..au watimbie TCU uwambie limfumo lao limekukosesha chuo ili mjadili cha kufanyaHabari wanaJF kwa ambao awajafanikiwa kupata vyuo awamu ya Nne itakuwaje kwa upande wao ukizingatia masomo yanaanza November, ushauri tafadhali. ....
Hahahhhhahhaha!! Hapo umeongea ndugu yaani kama li SUA mungu anawaona kwakwelHapo itabidi utimbe chuo unachotaka kwenda ule nao dili wakusajili AF ndo watume jina lako tcu..au watimbie TCU uwambie limfumo lao limekukosesha chuo ili mjadili cha kufanya
SUA sio sehemu ya kusoma kila mtu anayetaka kusoma only few are choosenHahahhhhahhaha!! Hapo umeongea ndugu yaani kama li SUA mungu anawaona kwakwel
Vibabu vingi sua ndio tatizo...unasoma na mshuaaSUA sio sehemu ya kusoma kila mtu anayetaka kusoma only few are choosen
Una ushahidi au unaropoka?Vibabu vingi sua ndio tatizo...unasoma na mshuaa
Nina refferenceUna ushahidi au unaropoka?
Kutoka wapi??Nina refference
Nakupa home work..tafutaKutoka wapi??