Kwa aliyewahi kukopa Faidika

Kwa aliyewahi kukopa Faidika

Lundavi

JF-Expert Member
Joined
Aug 11, 2016
Posts
328
Reaction score
325
Jamani nimeomba mkopo kwa hawa watu wa Faidika microfinance ltd, lakini nashangaa toka nijaze mkataba ni kama Wiki ya tatu lakini bado hawajanipa pesa yangu kwa wazoefu mnisaidie mkopo wa hawa jamaa unachukua muda gani. Maana nataabika wakati nilitegemea shida zangu nitatatua mapema.
 
Inawezekana wana liquidity trap... Yani pesa yao waliyokopesha bado hawajakusanya ili waweze kukukopesha na wewe. Ungana nao kwenda kufuatilia madeni kitaa ili wakukopeshe fasta...

Inawezekana wana liquidity trap... Yani pesa yao waliyokopesha bado hawajakusanya ili waweze kukukopesha na wewe. Ungana nao kwenda kufuatilia madeni kitaa ili wakukopeshe fasta...
 
Jamani nimeomba mkopo kwa hawa watu wa Faidika microfinance ltd, lakini nashangaa toka nijaze mkataba ni kama Wiki ya tatu lakini bado hawajanipa pesa yangu kwa wazoefu mnisaidie mkopo wa hawa jamaa unachukua muda gani. Maana nataabika wakati nilitegemea shida zangu nitatatua mapema.
Nakuonea huruma, kama utaweza katerminate huo mkopo hao watakukata mpaka utajuta.
Ni vema ungeenda benki yoyote hutaumizwa kama wakopeshaji wa hizi taasisi.
Iko hiv hawa wanakopa pesa nyingi benki kisha wanakuja kukukopesha wewe hivyo unatozwa mkopo kwa riba kubwa kisha marejesho yako yanabakia kwao kama faida na kulipa deni walilokopa benki. Fikiria hapo unapigwa na mtu mbili kwa mpigo utakuwa na afya nzuri kiuchumi?. Wana lugha nzuri utadhani malaika lakini ni waongo mwanzo mwisho utajuta kuwajua baadaye.
 
Nakuonea huruma, kama utaweza katerminate huo mkopo hao watakukata mpaka utajuta.
Ni vema ungeenda benki yoyote hutaumizwa kama wakopeshaji wa hizi taasisi.
Iko hiv hawa wanakopa pesa nyingi benki kisha wanakuja kukukopesha wewe hivyo unatozwa mkopo kwa riba kubwa kisha marejesho yako yanabakia kwao kama faida na kulipa deni walilokopa benki. Fikiria hapo unapigwa na mtu mbili kwa mpigo utakuwa na afya nzuri kiuchumi?. Wana lugha nzuri utadhani malaika lakini ni waongo mwanzo mwisho utajuta kuwajua baadaye.
Labda kama huwa wanaenda against na mkataba, kwasababu mkataba wangu na wao una makubaliano ya kiwango wanachonikopesha na makato kwa kila mwezi. So if they will go against with the contract, its fine.
 
Inawezekana wana liquidity trap... Yani pesa yao waliyokopesha bado hawajakusanya ili waweze kukukopesha na wewe. Ungana nao kwenda kufuatilia madeni kitaa ili wakukopeshe fasta...
Nichumu nibebikeeeeee, ninashida lakini si kwa kufanya hivyo
 
Labda kama huwa wanaenda against na mkataba, kwasababu mkataba wangu na wao una makubaliano ya kiwango wanachonikopesha na makato kwa kila mwezi. So if they will go against with the contract, its fine.
mkuu umepotea labda kama walisha badilika, mkataba wao huwa hauonyeshi makato, ila letshejo ndo huwa inaonyesha lakini huwa iko separet na mkataba, jua lazima ulipe mara mbili na sehem, pia kunamda huwa wanachelewa kutoa pesa toka kujazakataba ha mwez na nusu,siwataki kabisa hao jamaa
 
Jamani nimeomba mkopo kwa hawa watu wa Faidika microfinance ltd, lakini nashangaa toka nijaze mkataba ni kama Wiki ya tatu lakini bado hawajanipa pesa yangu kwa wazoefu mnisaidie mkopo wa hawa jamaa unachukua muda gani. Maana nataabika wakati nilitegemea shida zangu nitatatua mapema.
Poleeeee sana ndgu,mkopo was hao jamaa unachukua mwez ha na nusu,HAMIA BAYPORT FS,n Sikh tatu tu umeshajaa mpunga mfukoni,kavp nchek nkuelekeze vzur
 
mkuu umepotea labda kama walisha badilika, mkataba wao huwa hauonyeshi makato, ila letshejo ndo huwa inaonyesha lakini huwa iko separet na mkataba, jua lazima ulipe mara mbili na sehem, pia kunamda huwa wanachelewa kutoa pesa toka kujazakataba ha mwez na nusu,siwataki kabisa hao jamaa
Brother kwa Mara ya mwisho ulikopa lini? Nitakupa mrejesho wakishaanza kunikata ili iwe funzo kwa wengine . mm nitamwaga mboga wakienda tofauti na makubaliano.
 
Nenda kafute huo mkopo, utatafuta mtu wa kukufuta machozi na hutampata. Makato yao utaweka mikono kichwani.
 
Hayo makampuni ni ya kukwepa kama ukoma.ni majizi ya kitaasisi au tuseme certified bandits /thugs etc.jiepusheni nayo !!!
 
Na unapokula pesa ya mkopo kumbuka hili, you consume your future earnings today. Utakapo anza kuondoka na robo mshahara kwa miaka mingine miwili ijayo, hutokuwa na wa kumlaumu... Tumia vizuri hiyo pesa ya mkopo utakapoipata.
 
Back
Top Bottom