Kwa aliyewahi kukopa Faidika

Kwa aliyewahi kukopa Faidika

Kuna kipengele kwenye mkataba wao kinasema taasis inauwezo wa kubadilisha interest wakat wwte bila kukupa taarifa. Chunga hiyo
Hatimae mwezi huu Faidika wameanza kunikata makato ya mkopo niliouchukua. Nilichokipenda wanakata kiasi kile kile nilichooneshwa kwenye chat yao. Kwahiyo habari za kusema wanaongeza makato si sahihi. Ahsanteni Faidika.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hatimae mwezi huu Faidika wameanza kunikata makato ya mkopo niliouchukua. Nilichokipenda wanakata kiasi kile kile nilichooneshwa kwenye chat yao. Kwahiyo habari za kusema wanaongeza makato si sahihi. Ahsanteni Faidika.

Sent using Jamii Forums mobile app
Kumbe wengine hua wanakuja huku makusudi kuchafua taasisi kama hizi

Maelekezo na Maamuzi kutoka Juu
 
Hatimae mwezi huu Faidika wameanza kunikata makato ya mkopo niliouchukua. Nilichokipenda wanakata kiasi kile kile nilichooneshwa kwenye chat yao. Kwahiyo habari za kusema wanaongeza makato si sahihi. Ahsanteni Faidika.

Sent using Jamii Forums mobile app

Nakuskitikia kwakua najua hujaelewa lilosemwa iko hivi ilibidi ufanye comparison ilo kato lako wanalokukata faidika kila mwezi kwa muda uliochukua then ungeenda bank kama NMB uulize kwa kato kama ill kwa muda kama uliojaza Faidika unapata kiasi gani nakwambia hivi utajuta kwanini ulienda uko nakuhakikishia itakua pesa nyingi kuliko uliyochukua yani kama umepata uko 2 M jua bank utapata 3.5M kwa kato hilo hilo na ndipo apo tunaposema interest ya izo microfiance ni kubwa


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Hatimae mwezi huu Faidika wameanza kunikata makato ya mkopo niliouchukua. Nilichokipenda wanakata kiasi kile kile nilichooneshwa kwenye chat yao. Kwahiyo habari za kusema wanaongeza makato si sahihi. Ahsanteni Faidika.

Sent using Jamii Forums mobile app
Naomba experience yako ndugu. Ulikumbana na tatiy lolote kwa kipindi chote Cha mkopo?
Nazungumzia matatizo kama kuongezewa riba, kukatwa miezi zaidi ya uliyokopa na kunyimwa nafasi ya kufuta deni kama ulijaribu.

USHUHUDA TAFADHALI
 
Back
Top Bottom