Mimi huwa siwasemi vibaya sanasana huwa nawapenda sana wale kina dada ambao hawana complication, sio demu unatongoza miezi kibao utafikiri unachimba dhahabu, halafu ukipata siku moja tu umekinai, kama kizuri kizuri tu asikwambie mtu, hata kama kinatumika sana. Ni mtazamo tu.