Kuzomeana kwa Simba na Yanga katika mechi za kimataifa hakuna faida zaidi ya hasara

Timu zetu mara nyingi sana zinaishia mzunguko wa pili katika mashinchindano tofauti kwa miangi sasa na hasa vilabu vyetu vya Simba na Yanga ambavyo vinapata hizo nafasi.

Kumekuwa na utamaduni wa kuzomeana kwa mashabiki wa Simba na Yanga pale mmojawapo anapokuwa anacheza mechi ya kimataifa uwanja wa taifa kiasi cha wageni kupata nguvu toka mashabiki wakati timu inatetea utaifa pale huo umekuwa ni ujinga unaofanywa kurudisha soka la tz nyuma.

Timu wageni huwa wanashangaa kabisa kushangiliwa na mashabiki wanapokuwa uwanja wa taifa kitu ambacho hawakipati nchi zingine zaidi ya wananchi wa nchi yao wanaoishi katika nchi hiyo wanaocheza kwa tz ni tofauti kabisa.

Mashabiki wa Simba na Yanga mjiangalie upya timu zenu zinapocheza uwanja wa taifa mechi za kimataifa...umoja ni nguvu na utengano ni udhaifu.
Na huo mzunguuko Wa pili ni baada ya kupangiwa timu vibonde kama shelisheli, Djibouti, Comoro,
 
Tunatia aibu, wenzetu waliopiga hatua kisoka hawazomeani hata kama hawapendani.

Something must be done actively to stop this. Vinginevyo itabaki kuwa vicious cycle milele.

Kiongozi Wa Yanga alikuwa mpuu...zi alipompinga Manara lakini sidhani kama mashabiki wanatumwa na viongozi wao wazomee, hivyo sio Haji wala kiongozi Wa Yanga atakaezuia watu wasizomeane. Viongozi Wa matawi ya vilabu wanaweza angalau wakaisongeza mbele ajenda ya kuacha kuzomeana kuliko akina Manara.


Ushawahi kuona Mashabiki wa Man City wakiishangilia Man United?
 
Ushawahi kuona Mashabiki wa Man City wakiishangilia Man United?
Hoja ya mashabiki kuzomea timu ya Nyumbani ati ni sababu y'a timu zetu kukosa ushindi Nyumbani wala haina Mshiko, maandalizi y'a kipunguani au kimagumashi hawa ndiyo sababu tunapigwa tu kila mara. Kosa kubwa kuliko yote ni aina ya wachezaji tuliyokuwa nao kwenye vitabu vyetu, wengine hawafai Hata kucheza ndondo cup, hapa ninamaanisha viwango vyao viko Chini sana. Pili ni viongozi wa mpira tuliyokuwa nao, kuanzia vitabu, t. F. F hadi wa wizara husika, Wote hakuna Mwenye agenda endelevu kuhusu maendeleo ya soka, mara nyingi wanaangalia vile vitu walivyo n'a maslahi nayo, tena maslahi binafsi. Hadi usajili wachezaji viongozi husika uweka maslahi yao mbele kuliko klabu. Sasa ktk mazingira hayo unategemea Nini. Kocha kama mtaalamu apewe uhuru wa kufanya scouting y'a wachezaji. Kiufupi siasa za matumbo yetu ndiyo kikwazo ukubwa kwa mambo mengi y'a kutuletea maendeleo. Tunatoa maamuzi kwa kutanguliza matumbo yetu mbele. Kiufupi Sisi bado sana, si katoka soka tu, bali kwenye mambo mengi tu y'a msingi.
 
Jamaa wamepanda ndege mara mbili tu ikawa zii.
Akili zenyewe ndio hizi, za kupanda ndege na kuringishia dorii doriiiiii! Hovyo kabisa. Viwanja vya nyumbani kutokana na timu ngeni kupata sapoti ya mashabiki wa Simba au Yanga, wanajihisi wako nyumbani, ila nina uhakika waendako wanasema matanzania majinga sana.
 
Ushawahi kuona Mashabiki wa Man City wakiishangilia Man United?
Umewahi ona shabiki wa mancity kaenda kuwazomea manutd ikicheza na Seville?? Kama mechi haikuhusu, kaa nyumbami kwako!
Yaani nilishangaa simba yacheza na Al Masry, mashabiki wa Yanga huku mtaani kwangu walikodi costa na kuweka bendera za Yanga na Al Masry kuelekea taifa eti kuishangilia Al Masry na kuizomea Simba! Hovyo kabisa.
 
Akili zenyewe ndio hizi, za kupanda ndege na kuringishia dorii doriiiiii! Hovyo kabisa. Viwanja vya nyumbani kutokana na timu ngeni kupata sapoti ya mashabiki wa Simba au Yanga, wanajihisi wako nyumbani, ila nina uhakika waendako wanasema matanzania majinga sana.
Read between the lines Mkuu. Hupandi ndege hadi uwe Country Champion au wa FA Cup.
Mtaishia kupanda Boat kwenda Zanzibar kulingana na status yenu kwenye VPL. And mind you, bila kumdhumumu Mbao au Polisi hata hizo safari mbili hazikuwepo.
 
Read between the lines Mkuu. Hupandi ndege hadi uwe Country Champion au wa FA Cup.
Mtaishia kupanda Boat kwenda Zanzibar kulingana na status yenu kwenye VPL. And mind you, bila kumdhumumu Mbao au Polisi hata hizo safari mbili hazikuwepo.
Ndio maana nimesema akili zenyewe ndio hizo za kupanda ndege!
Mmefanikiwa nini ktk kupanda ndege zaidi ya utalii??
 
Ndio maana nimesema akili zenyewe ndio hizo za kupanda ndege!
Mmefanikiwa nini ktk kupanda ndege zaidi ya utalii??
Wenye akili Kombe gani la CAF mlishashinda zaidi ya kusema tunawaweza Waarabu?
Haki ya kupanda ndege inapatikana kwa kushinda VPL au FA Cup.
 
Hoja ya mashabiki kuzomea timu ya Nyumbani ati ni sababu y'a timu zetu kukosa ushindi Nyumbani wala haina Mshiko, maandalizi y'a kipunguani au kimagumashi hawa ndiyo sababu tunapigwa tu kila mara. Kosa kubwa kuliko yote ni aina ya wachezaji tuliyokuwa nao kwenye vitabu vyetu, wengine hawafai Hata kucheza ndondo cup, hapa ninamaanisha viwango vyao viko Chini sana. Pili ni viongozi wa mpira tuliyokuwa nao, kuanzia vitabu, t. F. F hadi wa wizara husika, Wote hakuna Mwenye agenda endelevu kuhusu maendeleo ya soka, mara nyingi wanaangalia vile vitu walivyo n'a maslahi nayo, tena maslahi binafsi. Hadi usajili wachezaji viongozi husika uweka maslahi yao mbele kuliko klabu. Sasa ktk mazingira hayo unategemea Nini. Kocha kama mtaalamu apewe uhuru wa kufanya scouting y'a wachezaji. Kiufupi siasa za matumbo yetu ndiyo kikwazo ukubwa kwa mambo mengi y'a kutuletea maendeleo. Tunatoa maamuzi kwa kutanguliza matumbo yetu mbele. Kiufupi Sisi bado sana, si katoka soka tu, bali kwenye mambo mengi tu y'a msingi.

Mkuu umemaliza.

Umegusa kwenye vyanzo hasa vinavyorudisha soka letu nyuma.

Viongozi wanagombania kuingia Simba, Yanga na TFF kujaza matumbo yao ndio maana leo unasikia Rais wa Simba na wenzake na aliyekuwa rais wa TFF wana kesi zinazohusu pesa, Wambura anafungiwa kwasababu ya kutafuna pesa yaani hawawazi namna ya kusogeza soka mbele wanawaza kupiga pesa.

Simba na Yanga ni timu kongwe lakini hazina viwanja vyao wanashindwa na Azam timu ya juzi halafu mtu analeta porojo za kuwaza hizi timu kufika mbali kimataifa.
 
Lazima upande sana ndege kupata mataji
Jamaa wamepanda ndege mara mbili tu ikawa zii.
Mataji gani ya kimataifa nye vyura FC mmeyaleta nyumbani,hiyo kauli ya kupanda ndege ni ushamba sasa hivi siyo timu tu kila mtu anapanda ndege,mechi zenyewe za mikoani wanapanda ndege,mkuu au we hujawahi panda ndege kwahiyo unaona ni jambo kubwa sana!
 
Mataji gani ya kimataifa nye vyura FC mmeyaleta nyumbani,hiyo kauli ya kupanda ndege ni ushamba sasa hivi siyo timu tu kila mtu anapanda ndege,mechi zenyewe za mikoani wanapanda ndege,mkuu au we hujawahi panda ndege kwahiyo unaona ni jambo kubwa sana!
Nimeanza kupanda ndege 1985!
Kupanda ndege kuna imply kuwakilisha nchi. Ili kuwakilisha nchi, lazima uchukue ubingwa. Ndiyo maana yangu.
 
Mataji gani ya kimataifa nye vyura FC mmeyaleta nyumbani,hiyo kauli ya kupanda ndege ni ushamba sasa hivi siyo timu tu kila mtu anapanda ndege,mechi zenyewe za mikoani wanapanda ndege,mkuu au we hujawahi panda ndege kwahiyo unaona ni jambo kubwa sana!
Thubutuu.. Wana uwezo wa kufanya chochote hao Gongowazi zaidi ya sifa oooh tunapanda ndege. Aisee timu inatia aibu hii

Angalia Simba imetolewa inasikitika wao wamefungwa wanafurahi aisee..!
 
Thubutuu.. Wana uwezo wa kufanya chochote hao Gongowazi zaidi ya sifa oooh tunapanda ndege. Aisee timu inatia aibu hii

Angalia Simba imetolewa inasikitika wao wamefungwa wanafurahi aisee..!
Mkuu, ni Wewe au Haji Manara kwa maneno Haya?
Nani afurahie kuondolewa?
Yanga inapambana na hali yake. Haji Manara kila kitu lazima aitaje Yanga
 
Mkuu, ni Wewe au Haji Manara kwa maneno Haya?
Nani afurahie kuondolewa?
Yanga inapambana na hali yake. Haji Manara kila kitu lazima aitaje Yanga
Walikuwa wakisema wao wameondolewa sisi tunaendelea na Shirikisho. Hiyo siyo furaha mkuu?
 
Thubutuu.. Wana uwezo wa kufanya chochote hao Gongowazi zaidi ya sifa oooh tunapanda ndege. Aisee timu inatia aibu hii

Angalia Simba imetolewa inasikitika wao wamefungwa wanafurahi aisee..!
Ila simba ndio wanaonekana kufurahi, eti wanadai ingawa wametolewa lakini wameupiga mwingi! Na kajisherehe wakaandaliwa pale Serena hotel!
 
Ila simba ndio wanaonekana kufurahi, eti wanadai ingawa wametolewa lakini wameupiga mwingi! Na kajisherehe wakaandaliwa pale Serena hotel!
Wanasema wameondolewa lakini hawajafungwa!
Kwa mentality hii tutabaki kusindikiza wengine. Kuondolewa hakuna lugha tofauti. Ni kuondolewa tu.
 
Wanasema wameondolewa lakini hawajafungwa!
Kwa mentality hii tutabaki kusindikiza wengine. Kuondolewa hakuna lugha tofauti. Ni kuondolewa tu.
Exactly tutaendelea kusindikiza wengine. Wakulaumiwa ni Yanga na wanachama washabiki wake toka waanze kushiriki hatuoni chochote zaidi ya sifa za kupanda ndege
 
Miaka mliyopata nafasi kama hizo, mlileta kitu gani?
Exactly tutaendelea kusindikiza wengine. Wakulaumiwa ni Yanga na wanachama washabiki wake toka waanze kushiriki hatuoni chochote zaidi ya sifa za kupanda ndege
 
Back
Top Bottom