Nimegundua nimezidishiwa pesa km laki 2, aidha benki au tigo pesa. Nahitaji kurejesha. Nitajuaje narejesha sehem sahihi? Nikitoa sadaka kimantiki itakuwa nimerudisha? Siamini katika pesa za hivi, nishaurini maana kuna familia ya mtu huenda ikataabika.