Daudi Mchambuzi
JF-Expert Member
- Nov 25, 2010
- 62,204
- 128,024
mara moja-moja sio mbaya bana hamna mtu atajua hata itabaki kuwa siri yangu me na wewe.
Iliwekwa lakini hajawahi kuifata, wapo walionishauri niende ustawi wa jamii. Ila jamaa mfanyabiashara si rahisi kupata kipato chake, so nmeona kwa kuwa naweza pambana acha nmpotezeeMlipopeana talaka hamkuweka utaratibu wa matunzo ya watoto kisheria?
Sent from my TECNO KE5 using JamiiForums mobile app
Tatizo ni yeye, makubaliano ni kusaidiana kulea watoto, kwenye mali hapo usinitie uchungu. Tuliachana mdogo ana mwaka mmoja mkubwa mi3Tatizo lilikuwa kwa nani?
Makubaliano baada ya kuachana yalikuwa ni yapi?
Mliachana kwa taraka ngapi?
Kuna mali zozote mligawana baada ya kuachana au zote alikuachia wewe?
Mliachana kipindi hicho watoto walikuwa na umri gani?
niueWacha uchoyo toa mbususu
Ni suala la muda tu vile viungo huwa vinakumbukana. Kwahiyo usijisifie saaana maana mwendo bado hujaumaliza.Habari zenu wanajukwaa,
Kumekuwa na trend ya kudharau sana single mothers wakidai kuwa lazima aliwe na aliyemzalisha.
Kama una uwezo wako hakuna sababu ya kujilizaliza kwake,somesha wanao ili kesho na keshokutwa some aibu yeye.Iliwekwa lakini hajawahi kuifata, wapo walionishauri niende ustawi wa jamii. Ila jamaa mfanyabiashara si rahisi kupata kipato chake, so nmeona kwa kuwa naweza pambana acha nmpotezee
Sikubishii mkuu wao ni wao na mm ni mm. Ambacho nna uhakika nacho ni hunijuiNi suala la muda tu vile viungo huwa vinakumbukana. Kwahiyo usijisifie saaana maana mwendo bado hujaumaliza.
Wapo ambao hata simu walikuwa hawapokei ila mwisho wa siku watu waliliwa vizuri na mimba ya ex akabebeshwa zigo aliyeoa.
Wahenga wanasema "KIPORO HAKIHITAJI MOTO MWINGI".
Asante MkuuKama ulichoongea ni uhalisia basi nakupa big up mkuu, haya mambo lazima wawepo watu wa mfano kama wewe. Ukijiheshimu heshima itakufuata hongera sana.. hapo hata mtu akisema anaoa single mama anakuwa salama kutokana na msimamo wako, kingine sijui nani alisemaga ukizaa na mwanamke mkashindwana kupasha kiporo ni lazima, haya mambo siyawezi once we done , we have done kila mtu ashike na zake.. hongera mkuu.
toka enzi nikiachana na mtu imeisha hyo, labda kwa kurogwa naweza nisibishe mana sio mkali kwenye imaniJamaa yako anapigo za kishamba tu, lakini mimi ukishanizalia na tukaachana, amini kwamba nitakuwa nakula anytime ninapojisikia na mbinu mojawapo ya kukufanya uwe unakileta mwenyewe ni kama alivyosema mkuu Carlos hapo juu.
Hiyo ni mbinu mojawapo tu ya kivita, lakini zipo nyingi sana za kukufanya uwe unaileta mbunye mwenyewe bila bugza yoyote.
Huyo hujampa kwa sababu haudumii angekuwa anahudumia watoto ungetanua kama kawa..Nyie watu; imefika muda wa kulipa (technically nilikadiria sababu ada nishalipa baada ya kusota mwaka jana sikutaka ijirudie nkajipanga). Napiga simu haipokelewi wala message sijibiwi tena.
Kisa nimekataa kutoa show mtu kagoma kuhudumia wanae?? he he.