kingofyou
Member
- Nov 21, 2013
- 52
- 15
Habari zenu...
Nasema hivi Amani itakuwepo tena kubwa sana + upendo, mkiwaruhusu waume zenu at least kuwa na mke mwengine, yaani muwe wawili... Heshima itakuwepo (mwanaume atakuheshimu sana). Asikuambie mtu game utafaidi tu,,,
Game utafaidii kwa maana utakuwa mbunifu a sana, ili umkoleze mumeo wakati hapo hapo unajitosheleza ipasavyo..
**@Practice makes ..................@**
Mnapo bana wenzenu wanateseka.. hapo hapo unakataa uke wenza lakini mume wa mtu akitupa karata kwako ya turufu anakula kilaini na mbaya zaidi unafahamu kuwa mume wa mtu.
Umalaya haufai,, halal tamuuu...
Kazi kwenu
Nasema hivi Amani itakuwepo tena kubwa sana + upendo, mkiwaruhusu waume zenu at least kuwa na mke mwengine, yaani muwe wawili... Heshima itakuwepo (mwanaume atakuheshimu sana). Asikuambie mtu game utafaidi tu,,,
Game utafaidii kwa maana utakuwa mbunifu a sana, ili umkoleze mumeo wakati hapo hapo unajitosheleza ipasavyo..
**@Practice makes ..................@**
Mnapo bana wenzenu wanateseka.. hapo hapo unakataa uke wenza lakini mume wa mtu akitupa karata kwako ya turufu anakula kilaini na mbaya zaidi unafahamu kuwa mume wa mtu.
Umalaya haufai,, halal tamuuu...
Kazi kwenu