trachomatis
JF-Expert Member
- Jun 7, 2011
- 3,758
- 746
Dar ilitokea kama ya kwako. Walivyoenda kituo cha polisi kama ulivyofanya,polisi waliuliza huyo mtu anafananaje.Walivyoambiwa walicheka na kusema hawawezi kutoka ila mhusika amkamate amlete kituoni wao watamweka ndani. Walimkimbiza na watu wakaanza kupiga kelele za mwiziii mwiziiii akasema mi sio mwizi.. mi tapeli... Walimkamata na kumpeleka kituoni lakini akatoka!