Kuweni Makini na Madeleka

Sio jeshi la mtu mmoja, anajua anachofanya kwa mtindo huo huo unaomwona nao
 
Naona anajua anachofanya, kipindi kile alitumika baadaye amejiresha kwa namna ambayo ni ngumu kujua
 
Kama alikuwa anakubalika, angepita ubunge bila kujali chama kinachomdhamini. Ni kama ilivyokuwa kwa Mfalamagoha Kibasa 1995 Iringa mjini, Mkosamali na Machali 2010
Nakubaliana na wewe vizuri tu.
Tofauti hapo ni Mazingira ya Siasa za eneo husika zinakuwa ngumu kwa hilo..nadhani hata yeye analitambua hilo.

Kwa Mwanza Majimbo ya Ilemela,Nyamagana na Ukerewe,ya naamini sana Siasa za Upinzani kwamba ni kupitia CHADEMA nje ya hapo mashaka yanakuwa ni mengi. Swali maarufu huko nyakati za chaguzi huwa ni..'Je, CHADEMA wana Mtu/Mgombea'?..

Ndiyo maana alijiunga ACT-Wazalendo na kuhamia kugombea Jimbo La Geita Mjini kule.Japo Ilemela hapo panatajwa kuwa eneo alilowahi kuishi muda mwingi kwenye historia ya makuzi yake.
 
1. Madeleka ni Kada Mtiifu wa CCM
2.Madeleka ni Askali police.
3. Madeleka ni Pandikizi la CCM ndani ya ACT WAZALENDO.
4. Madeleka ni Mpokea Taarifa akumalize.

KUWENI MAKINI SANA NA BINADAMU.
MAANDIKO YANASEMA USIMUAMINI MWANADAMU.
Kwa akili hizo, nawaapia hawa chadema ni hatari kuliko watu wowote hapa Tanzania. Fikiria bwege kama huyu anashika madaraka, Kuna yeyote atakayethubutu kusema lolote?!!! Ukisema tu unapewa majina mabaya na visasi kama hivi.
 
Tujifunze kuheshimu watu wanaojitokeza waziwazi kusema misimamo yao tena ya kupinga serikali uaji kama hii, hata kama hatuwapendi, chukua points chambua baki na kinachokufaa vingine tupa.

Kwa hali ya sasa mtz kusimama na kuzungumza kama huyu jamaa ni sawa na kulalia mtutu wa bunduki wenye risasi zilizokokiwa kabisa! Tuwaheshimu sana na sio rahisi kama kuandika hapa na tukitumia majina fichwa
 
Sijapandikiza chuki, nimesema kuweni Makini na Madeleka
 
Amegusa mfupa sasa vi shoga kutoka chember maalumu vimekuja na oil chafu. Kampa makavu aliye watuma kwamba uana harakati sio ugaidi
 
Ni mjanja fulani, akisikia jambo anakimbilia kufungua kesi halafu anaombq michango.
Kesi zake nyingi hazina mwendelezo ingawa anapenda kuziongelea twitter.
Alikimbilia kesi ya wachezaji wa S8ngida united kupewa uraia bila kutimiza vigezo hukumu ilipotolewa hakuhangaika wala kukata rufaa ninkama alihalal8sha ili mtu mwingine baadae ashindwe kuhoji.
 
1. Madeleka ni Kada Mtiifu wa CCM
2.Madeleka ni Askali police.
3. Madeleka ni Pandikizi la CCM ndani ya ACT WAZALENDO.
4. Madeleka ni Mpokea Taarifa akumalize.

KUWENI MAKINI SANA NA BINADAMU.
MAANDIKO YANASEMA USIMUAMINI MWANADAMU.
Atakuwa anamshahara mrefu sana
 
Nadhan huipi muunganiko mzuri mbinu yake ya uwasilishaji. Kuwasilisha ni art sio!
Ni sawa na mtu kukusifia kwa namna inayokudhalilisha!
Mf. ni hoja 4R aliisifia kwa namna inahitimisha kuwa basi aliyeileta hajui alimaanisha nini ukilinganisha na hali ya sasa.
Unahitaji kumsikiliza Madereka kifasihi pia.
Mf mwingine ni kumsifia rais kwa kufuta kesi za kubambikiza 1000+ na Lisu yu ndani!
Isitoshe, watu werevu hujikita zaid katika hoja iliyoko mezani kuliko personality ya aliyeileta(ndo mana tunashauriwa hata kichaa msikilize kwanza mpaka ujiridhishe vinginevyo)
 
Sawa Mkuu..ila uwasilishaji kwa Lugha ya kawaida tu na yenye kueleweka kwa wepesi ..ni afya zaidi kwa Mwana Siasa katika kuyafikia malengo yake.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…