Kuweni makini na iris insurance agency

Kuweni makini na iris insurance agency

barbie20

Member
Joined
Jan 2, 2018
Posts
45
Reaction score
66
Kuweni makini na huyu mtu anaitwa, (Ezekiel Ephraim kachare) ni tapeli kampuni yake ni(IRIS INSURANCE AGENCY) alitangaza kazi.. baadae akatuita kwenye interview.. tena tukatoka mikoan baada ya mda akatuita kwenye training,, hamna malipo wala nini Ile tarehe ya kuanza kazi ikapita kila siku anatupiga kalenda kazi kesho.. Na kazi yake kukutumia tumtafutie wateja wa bima malipo hamna.. Mwsho wa siku katukimbia na simu hapokei kabisaa ivi kweli ni uungwana?, watu tumeaga kwetu tumepata kazi na wazazi wakafurai... Sasa kwa anayemjua amfikishie taarifa atulipe ata ela ya nauli turudi kwetu.
 
Pole mkuu.

Mtu hafukuzwi mjini, mjini mtu ataondoka mwenyewe.

Karibu upate maji ya kunywa wakati unatafuta nauli ya kurudi mkoani
 
Sasa fanya hiv tatizo geuza kuwa fursa,
Ushafika mjin change gia angan angalia fursa gan unaweza kuanza Nazo, najua umefikia kwa mwenyej wako bas kama unakipaji au talanta yoyote ile usiogope funguka apa n mjin na watu wanaish kwa mipango


I wish u all the best
 
Sasa fanya hiv tatizo geuza kuwa fursa,
Ushafika mjin change gia angan angalia fursa gan unaweza kuanza Nazo, najua umefikia kwa mwenyej wako bas kama unakipaji au talanta yoyote ile usiogope funguka apa n mjin na watu wanaish kwa mipango


I wish u all the best
Hapa mjini sina ndugu kuna mtu tu aliniifadh kwa mda... Inatakiwa nirud nilikotoka
 
Niliposema mwenyej wako ndio uyo aliekuhifaz. Anyway
Inabd turud mbeya coz umeshindwa kufanya countermeasures, sory coz I know this feelings
 
Unatoka mkoan mpaka dar then unafika anakufanya wewe utafute wateja bila malipo yoyote tena .hatariiii atalaniwa huyo jamaa ,biashara haiwez kwenda kwa style hyo
 
Unatoka mkoan mpaka dar then unafika anakufanya wewe utafute wateja bila malipo yoyote tena .hatariiii atalaniwa huyo jamaa ,biashara haiwez kwenda kwa style hyo
Yan we acha tu ila Mungu yupo
 
karibu kwangu nikuhifadhi.....huenda tukapata kitu cha kufanya...kama uko serious ni pm
 
Back
Top Bottom