Kama mtu hajiheshimu na hayuko committed hata kanisani wanaweza wakakutana na wakafanya uzinzi....facebook is a very useful media na ina manufaa mengi....huwezi judge facebook kwa event ya mpumbavu mmoja....wapo waliokutana facebook na wameoana na wapo waliopata business networks,information za vitu tofauti via facebook....ni jinsi mtu anavyoitumia....personally marafiki zangu wanaitumia vizuri na nafurahi na kujifunza kitu everytime nafungua facebook.....
Na ulivyosema kama mkeo yuko facebook kuwa makini,huyo mwanamke alifanya huo uzinzi na mwanamke mwenzie?unachojaribu kusema hapa ni kuwa wanawake hawana uwezo wa kuji-control,so kuwa facebook ni rahisi kwao kudanganyika? huyo mwanamke ni mtu mzima na angeweza kufanya uamuzi tofauti na huo,kwa tamaa zake au kwa akili zake aliamua kufanya hayo...it has got nothing to do with yeye kuwa mwanamke.