Mchapaji
Member
- Mar 22, 2010
- 26
- 1
Za asubuhi wadau?
Jana nilikuwa naangalia marudio ya kipindi cha Dr. Ndodi kinachorushwa na Star Tv... Katika mada alizozungumzia, moja wapo ilikuwa kula vyakula vilivyokobolewa vinapunguza akili. LAKINI topic iliyonigusa ni ile ya kufikiria ngono kila wakati anadai kunapunguza maisha na pia akili.
Je wenzangu, mnalijua hilo? na kama YES, je ni kweli kuwaza ngono kunafanya mtu kupungukiwa akili na muda wa kuishi...
Aksanteni, ni hayo tu nitakayo kufahamu.
Jana nilikuwa naangalia marudio ya kipindi cha Dr. Ndodi kinachorushwa na Star Tv... Katika mada alizozungumzia, moja wapo ilikuwa kula vyakula vilivyokobolewa vinapunguza akili. LAKINI topic iliyonigusa ni ile ya kufikiria ngono kila wakati anadai kunapunguza maisha na pia akili.
Je wenzangu, mnalijua hilo? na kama YES, je ni kweli kuwaza ngono kunafanya mtu kupungukiwa akili na muda wa kuishi...
Aksanteni, ni hayo tu nitakayo kufahamu.