Winnone
JF-Expert Member
- Jul 24, 2022
- 1,521
- 4,146
Hata kama aliokota…
Basi mi nikajua amesahau kuandika 1, hap mbele ya 4 ili isomeke iphone 14 mweeeh[emoji3]
Hata kama aliokota…
MUtaalam wa nini kwenye iPhone 4 jamani?
Hao wataalam wenyewe Apple walioitengeneza wameshaitoa kwenye mifumo yao, utaalam gani unaouzungumzia wewe?
Huu ni unafiki ambao sina, nyeusi naita nyeusi.
Jaribu ku focas kwenye kile alichoomba ushauri mleta uzi maswala ya matumizi sijui imetolewa kwenye mfumo hayo ni juu ya mleta mada hata kama ataitumia kwaajili ya kuwashia tochi ni juu yake.Utaalam wa nini kwenye iPhone 4 jamani?
Hao wataalam wenyewe Apple walioitengeneza wameshaitoa kwenye mifumo yao, utaalam gani unaouzungumzia wewe?
Huu ni unafiki ambao sina, nyeusi naita nyeusi.
Wewe nani wa kunipangia cha kusema? Nimesema nilichosema, wewe sema unachotaka mtoa mada aambiwe, simple!M
Jaribu ku focas kwenye kile alichoomba ushauri mleta uzi maswala ya matumizi sijui imetolewa kwenye mfumo hayo ni juu ya mleta mada hata kama ataitumia kwaajili ya kuwashia tochi ni juu yake.
Huwezi kuniambia kwasababu haipo kwenye mfumo ndo mana haiwaki kuna iphone 4 kibao tu zinawaka mpaka leo.
Nakukumbusha tena kichwa cha uzi ni kuwasha hivyo jikite hapo mengine muachie mwenyewe
Ukali wa nini bibie hakuna mtu alimpangia mtu kusema kitu kunywa maji kwanza ushushe jazba pole kama nimekugusa pabayaWewe nani wa kunipangia cha kusema? Nimesema nilichosema, wewe sema unachotaka mtoa mada aambiwe, simple!
Ingekuwa ukali ningekuwashia moto tokea post ya kwanza, si unaona nimeenda na wewe kistaarabu tu?Ukali wa nini bibie hakuna mtu alimpangia mtu kusema kitu kunywa maji kwanza ushushe jazba pole kama nimekugusa pabaya
Naomba mwaliko wa xmass basiIngekuwa ukali ningekuwashia moto tokea post ya kwanza, si unaona nimeenda na wewe kistaarabu tu?
Hizo stress za kugombana na watu wa mitandaoni nazipatia wapi? Niko very calm.
Cheers
Usijali, tuombe kesho ifike.Naomba mwaliko wa xmass basi
Wape watoto wachezee game la nyokaHabari wadau,
Nasimu ya iPhone 4 lakini nkiwasha inagoma sijui shida itakua nini inakua kama hivi kwenye picha kisha inazima
View attachment 2850399
2014 ni mwaka wa iPhone 6 na 6PlusIphone ya kwanza ilitoka 2007, sasa ya nne itakuwa 2014 labda