Kuwasaidia ndugu wa mkeo ni limbwata?

Na siku ukimuacha mkeo unafilisika baraka zako ziko kwa mke wako mpende daima nyie wanaume mkifanikiwa tu huwa shida, halafu acha tabia ya kushirikisha ndugu zako mambo ya maendeleo yako, kulikuwa kuna haja ya wao kujua kuwa mkeo anajenga kwao kweli, jifunzeni kuwa na siri pia wewe ni mwanaume unayejielewa endelea kuwa na mkeo ingekuwa wanaume vichwa panzi wangeshavunja ndoa kisa eti mchagga
Inategemeana
 
Promo ..... Kama ni kweli una tatizo mkuu.....Yaani mama yako aombe fedha kwa mkeo? Kisa, misimamo yako?



Anyway ni kawaida sana vijana walioanza mapenzi utu uzimani na wanaotoka kwenye makabila yenye wanawake wasio na mvuto kulowea kiasi hicho.
Mama aliombea watoto sio matumizi yake yeye,
 
Kwa siku ya jpili. Huu ni ujumbe tosha.
Hiki ulichokisema nimewahi kukishuhudia somewhere....A man alikua ni mtu wa ofisin na mke wake darasa la saba..lakini yule mwanamke alikua ana akili sana ya miradi ya biashara...jamaa yule alifanikiwa sana kimaisha...kufika utu uzima mke wake aliuacha ulimwengu....since there jamaa hajakua vzuri sana kimaisha isitoshe alishastaafu...so be careful na mke unayeishi nae..Mungu anaweza kumfanya amana na milango ya baraka ya maisha yako despite of elimu yake au status yake ya maisha ya nyuma.
 
Promo ..... Kama ni kweli una tatizo mkuu.....Yaani mama yako aombe fedha kwa mkeo? Kisa, misimamo yako?



Anyway ni kawaida sana vijana walioanza mapenzi utu uzimani na wanaotoka kwenye makabila yenye wanawake wasio na mvuto kulowea kiasi hicho.
Wewe mbona kama shemeji mtu? Comment yako imejaa chuki hivi
 
Wanaume tukishaoa tu ndugu zetu wanahisi kama wametupoteza vile.

Ila hizi ups and down za ndugu zetu huwa zinatukuta wanaume wengi tu.

Mimi pia nilipitia hizi changamoto mke wangu ni Muha wa Kigoma ila anaakili sana ya biashara kizuri zaidi kwenye swala la utafutaji hachoki wala hana aibu.

Wakati namuoa nilikuwa naishi nyumbani kwetu yaani kwa baba na mama.

Ila sasa hivi tunaishi kwetu na tupo mbali sana ingawa kuna Maneno yalipita hapo nyuma baada ya kuamua kumjengea nyumba ya kisasa mama mkwe wangu huko Kasulu maana nyumba ya mwanzo ilikuwa ya kizamani kidogo ukizingatia sasa hivi Kasulu mjini kumechangamka hivyo kunahitajika kuwa na nyumba za kisasa.

Yote kwa yote Mimi na mke wangu tunavuka majaribu mengi sana upande wa ndugu zangu.

Ndugu wa Mume siku zote wana gubu sana kwa wifi/shemeji zao.
 
Duh jamaa yangu nilengesheee mdogo wake wallah nipo serious duh kuna wanawake jaman majembe yaani huyo ukianza kumla mambo mpaka unajihisi maupako ila Kuna wengine ukiwa unawala mambo unajihisi mamikosi.
 
Back
Top Bottom