Tutor B
JF-Expert Member
- Jun 11, 2011
- 9,025
- 6,559
Amani kwenu,
Hivi kama Serikali ingekubali kukawa na Database ya Taifa kwa wizara zote na Halmashauri zote, tatizo la wafanyakazi hewa lingetoka wapi?
Hivi kama tungewatumia wataalam wa kilimo, kilimo kwanza si ingekuwa mbali? Hivi kama wangesikilizwa viongozi wa Jeshi kipindi cha awamu ya kwanza, vita ya Tanzania na Uganda ingetokea wapi?
Hivi maamuzi yote tunayoyaona pasipokushirikishwa wataalamu, tutarajie nini iwapo hayatakuwa ya tija kwa watanzania? Au tusubiri kuombwa msamaha kama ilivyotokea kwa? Eti asingebinafsisha makampuni ya Umma pasipo maandalizi?
Ni mengi ya kujadili ila sasa.
Hivi kama Serikali ingekubali kukawa na Database ya Taifa kwa wizara zote na Halmashauri zote, tatizo la wafanyakazi hewa lingetoka wapi?
Hivi kama tungewatumia wataalam wa kilimo, kilimo kwanza si ingekuwa mbali? Hivi kama wangesikilizwa viongozi wa Jeshi kipindi cha awamu ya kwanza, vita ya Tanzania na Uganda ingetokea wapi?
Hivi maamuzi yote tunayoyaona pasipokushirikishwa wataalamu, tutarajie nini iwapo hayatakuwa ya tija kwa watanzania? Au tusubiri kuombwa msamaha kama ilivyotokea kwa? Eti asingebinafsisha makampuni ya Umma pasipo maandalizi?
Ni mengi ya kujadili ila sasa.