GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 56,694
- 109,132
Wapiganaji wamelala Saa 9 za Usiku wa kuamkia leo huku wale Wapiganaji waliokuwa katika Ratiba ya zamu ya Gwaride la Temeke Saa 8 wakipelekwa kufanya Ulozi Walikolala mazima Wenzetu ili walipige Taifa la Farao, ila wakashindwana kwa kila Taifa Kuua Adui Mmoja Mmoja.
Hii ya Saa 8 kwenda Walikopumzika mazima Wenzetu Kuroga na Wapiganaji kuchelewa Kulala kuelekea Vitani na Farao ewe Mwananchi na ewe Mzalendo nakuomba iamini na uichukue kwa 100%.
Hii ya Saa 8 kwenda Walikopumzika mazima Wenzetu Kuroga na Wapiganaji kuchelewa Kulala kuelekea Vitani na Farao ewe Mwananchi na ewe Mzalendo nakuomba iamini na uichukue kwa 100%.