Kuwa ugenini mateso


Hata marafiki wengine sio watu kabsa....nakumbuka long back nikiwa chuo nliwahi kukaa kwa a friend of mine for just a week nikijipanga kupata my own accomodation.
Yan ilikua nikitumia hata sukari, majani ya chai, jam & blue bland, sabuni etc. (vitu vidogo vidogo tu)....ilikua ni shida sanaa.
Kelele na majungu kibao....ni mengi tu alifanya na kuongea. Ilinifungua akili sana kuhusu tha type of people i call friends. Nkajiuliza sana, ivi siku nimeanguka nashida huyu ni mtu wa kutegemea kweli ??
Siku naondoka nikamnunulia kila kitu chake nlichotumia in that week. Alikua mshkaj wang sanaaa but since then ikawa ni salamu tu....after like 3 months jamaa alinifata akaniomba msamaha...nlimsamehe but it has never been the same....achilia mbali ugeni wa kindugu nao ni shida sanaaa.
 

Umesema kweri kabisa, ndugu wengi lawama tu. Ukiwa nazo wanamiminika kama hawana akili nzuri, siku ukipata matatizo hujikata mmoja mmoja na masimango kibao. Na sio siri wengi wanaopenda kusaidiwa sana wao huwa wagumu kusaidia wanapopata na hata kidogo ulichowasaidia husahau na kujidai kuwa kama usingewasaidia wewe wangesaidiwa na wengine
 
mmh....watu wengine tukisimulia masaibu yaliyotukuta......tutajaza kitabu......ila cha muhimu....ni kumuombea adui yako aishi siku nyingi.....ili unapofanikiwa ajionee kwa macho yake mawili

Ukifatilia matajiri wengi hii ndio sabab wanatafuta hela na mafanikio kwa nguvu zote. Kuna kitu au watu kwa namna moja au nyingine anajaribu kuwa prove wrong hence anaweka a lot of effort. Dat mimi ninaweza na nitawaonyesha kwamba ninaweza.
 

Story yako iko similar na yangu kwa 90% hapo kwenye mama weka baba nd bado wanaishi pamoja.
 
naona mmeongea saana. kila mmoja kateswa vipi nyie kama mnafamilia ndugu zenu wakiwatembelea wanaenjoy au mnaendeleaza yalayale
 
Siku hizi boarding schools tu ni mateso tosha kwa watoto haina haja ya kuwapeleka kwa ndugu

 
Nyumbani kwetu tulifundishwa kufanya kila kitu, kila aina ya kazi za nyumbani mpaka kazi za bustani na kutunza mifugo. Tulikuwa tunapiga kazi mpaka mtu unatamani shule zifunguliwe urudi. Na hapo palikuwa kwetu kabisa. Ndugu ndio walikuwa wanatanua, tulikuwa tunaambiwa hapa ni kwenu unategemea nani akutengenezee kwako kama sio wewe.

Mi nadhani wazazi ndio wanaokosea wanaona kuwafundisha watoto wao kazi za kila aina ni kuwatesa. Hata mimi nilikuwa naona nakosewa haki na kuonewa wakati huo nikiwa mdogo. Namshukuru mama yangu may the Good Lord rest her soul in eternal peace, nikiwa na miaka 18 niliweza kuendesha nyumba na kutunza familia na wadogo zangu watano. Ninaimagine kama ningekuwa legelege ingekuwaje.

 
awapi inategemea tu na jamaa unaoishi nao
 
kuna watoto wengine sio kwamba wananyanyaswa ugenini ila kutokana na malezi waliyoyapata nyumbani kwao yakudekezwa,anakuwa hawezi kufanya kazi,hata kama ukimwambia aoshe vyombo kwa nia njema kabisa yeye ataona unamwonea na unamnyanyasa kwa sababu kwao hajazoea kufanya kazi na ndio anatakiwa awe hapo ugenini kwa miaka minne au mitatu ya masomo yake, na msosi anapata apendavyo.Hapo vipi ?
 
Huwa najitahidi sana kuishi kwa kanuni ya usimtendee mwingine usichopenda kutendewa wewe, sio rahisi lakini inawezekana.

 
Ukifatilia matajiri wengi hii ndio sabab wanatafuta hela na mafanikio kwa nguvu zote. Kuna kitu au watu kwa namna moja au nyingine anajaribu kuwa prove wrong hence anaweka a lot of effort. Dat mimi ninaweza na nitawaonyesha kwamba ninaweza.

Ni kweli mkuu, ukinyanyasika sana utatia akili tu!!
 
Ni kweli mkuu, ukinyanyasika sana utatia akili tu!!

Mara nyingi such people wanawapenda sanaa watoto wao....hawataki kabsa wakose mahitaji ya msingi....it reaches a point umenyanyasika na kudharauliwa sanaaa. Ile hasira na uchungu from within inakua converted to efforts...ndio unakuja ona watu wa kawaida sanaa wasio na elimu kubwa wanafanya wonders....75% ya matajiri wanaofanya biashara kariakoo....hata hyo form 1 hawajawahi kuiona....ukipiga nao hadithi utagundua nlicho kueleza hapo juu.
 
Hayo yapo mijini kwa sana na kama ndo mara ya kwanza umefika mjini utajuta. Kijijini watu wana upendo na wanajali utu.
 
Hii thread inaweza kukusisimua ka uwoga au hasira kwa ile hisia unayopata ktk post za watu. Mie nmekaa mahali kwingi na mmeona mengi na kuexperience mengi. Wanasema mtu hawi mbaya kwa yote kna mema lazma anatenda ila ndio binadamu tunaona negatives kuliko wema. I hv bn through hell ila had leo ukiniuliza ntasema i miss the lyf niliyopitia mana it was happy in its own way japo cruel in all eyes.

Kikubwa ni kwamba my kids wataishi na mm tuu kama ktembea tunaenda wote tunarudi wote na nikiwaacha basi ni 7b i know the bondage na mwenyeji ni kubwa na atawalinda kama wake.
 
Ila kuna wazazi wengine wanakosea pia, kuna familia ninaijuwa walithubutu kumruhusu mtoto wao aje asomee dar eti tu kwa sababu mtoto wao anapenda kuja dar kwa sababu zake binafsi,akafikia kwa watu, bahati mbaya wenyeji hao walikuwa na nafasi ndogo sn, ndipo wakamwomba baba mtu kama itawezekana wasaidiane kifedha wampeleke mtoto boarding,baba wa mtoto alikataa na kusema hana pesa ya boarding na kuwaambia wenyeji hao ndo watoe pesa hizo, wakati baba huyo uwezo anao.
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…