princess ariana
JF-Expert Member
- Aug 19, 2016
- 9,657
- 19,274
serious?Hyo ni dalili moja wapo ya mtu mwenye vidonda vya tumbo ndo mana nasema jaribu kupima kipimo cha H pylory
serious?Hyo ni dalili moja wapo ya mtu mwenye vidonda vya tumbo ndo mana nasema jaribu kupima kipimo cha H pylory
Plus maombezi au maombezi bila hata ya hizo therapy,inakata mara moja,ila tu uamue kuishi kwa kumpedeza Mungu kwani kama alivyoeleza hapo juu Mzizimkavu hua ina uhusiano mkubwa sana na mapepo.huo ni ugonjwa wa kitaalam acheni kumchanganya mgonjwa na kuzidi kumtia hofu.wewe unahitaji usaidiwe kisaikolojia na utapona kabisa!usiende kwa sheikh wala usitumie dawa zozote.tumia cognitive behavior therapy itaisha na utasahau
nahofia kila kitu mpaka matendo mnayotenda.
hata nikiongea nikifanya kitu
nahofia kurukwa na akili,kushindwa kuji control
niliwahi kuwa na rafiki yangu aliwshi kuchanganyikiwa
imenipelekea kuwa na woga Sana every time
n muda mrefu sasa
Wakuu habari zenu,
Hili tatizo la kuwa na wasiwasi au hofu muda mwingi nini chanzo chake
Nawasilisha
WalHuenda wala ila tu mi nashangaa inanitokea mara kwa mara
Pengine umeua mtu na mikosi inakuandama sasa.
Me too!hata Mimi nna hilo tatizo LA woga,wasiwasi hofu na kutojiamini
nadhani no saikolojia problms
We acha tu kakaMe too!
Even worse natumia liquor kutafuta confidence majanga matupu!Sasa sijui itakuwaje!Y
We acha tu kaka
Hahahaha....Dah.. Una uhusiano wowote na kupotea kwa faru John?![]()
![]()
Dah.... Vyeti vyako viko sawasawa kweli?hata Mimi nna hilo tatizo LA woga,wasiwasi hofu na kutojiamini
nadhani no saikolojia problms

Habari,vipi kihusu tatizo ukifanikiwa kupona?Wakuu habari zenu,
Hili tatizo la kuwa na wasiwasi au hofu muda mwingi nini chanzo chake
Nawasilisha