FrankLutazamba
JF-Expert Member
- Aug 9, 2018
- 449
- 408
Nilipomuona ndege tausi anachanua mkia kwa Mara ya kwanza ndipo nilipo dhibitisha ukuu wa Mungu kwa uzuri wa ndege huyo,haonyweshwi vizuri ktk video au Picha hapo wameshindwawachukua video,pia chui ilikuwa Tabora
Ktk game reserve yao jirani na kitete hospital
Pia nikaja kuona Simba ktk maonyesho ya 77 dar es salaam,nikaapa nikasema kama Samsoni alipambana na kiumbe hiki basi Mungu yupo,simba anavyoonakana kwenye luninga ni tofauti,Simba ni bmkubwa na hapo Mungu ndio kadhihilika Uwezo wake
NbWazungu huja kuona wanyama kwani wanajua bahati iliyopo Ukimuona Simba,chui,tembo au tausi
IPO nguvu unayopataunapowaona kwa Mara ya kwanza,chui ana mapaja makubwa yaliyojishindilia vyema,si wa kuomba kukutana nae kwani kamwe huwezi kumshinda,simba ndio usiseme fanya juu chini uwaone
Ombi maliasili mtembezeni Simba na chui mikoani
Mvinyo,mapadri huonja mvinyo kwa kuwa wanajua bahati take, wazungu wengi huonja bilauri moja kabla ya kwenda kazini na ULAya wanapambana kuzalisha zabibu,hapa Bongo hulimwa jijini Dodoma
Nilionja mvinyo kwa Mara ya kwanza nilipokuwa na miaka saba na uliletwa na Afisa Usalama Mzee Maganga mwenye Bahati gesti house Tabora jirani na police centre ilikuwa aina ya Dodoma wine tamu,inalewesha na nilikunywa glasi moja
Kupokea wazungu ikiwa watakutembelea,mwalimu Nyerere alipendelea Kuwaita wakubwa,wao husoma nyota na kujua nyakati,humfuata MTU hata kijijini ndani ndani kabisa, mapema kabisa kabla hajawa nyota kwa kuwa wao hujua, japo Bongo wapo Mfano George Ngelea afisa mifugo Meatu
Nb;viongozi tembeleeni Kikombo dodoma mkaone jina LA dodoma lilipoanzia sababu ya tembo kuzama ktk sehemu hiyo,mpaka leo IPO,
Instagram:kaukwaju
Ktk game reserve yao jirani na kitete hospital
Pia nikaja kuona Simba ktk maonyesho ya 77 dar es salaam,nikaapa nikasema kama Samsoni alipambana na kiumbe hiki basi Mungu yupo,simba anavyoonakana kwenye luninga ni tofauti,Simba ni bmkubwa na hapo Mungu ndio kadhihilika Uwezo wake
NbWazungu huja kuona wanyama kwani wanajua bahati iliyopo Ukimuona Simba,chui,tembo au tausi
IPO nguvu unayopataunapowaona kwa Mara ya kwanza,chui ana mapaja makubwa yaliyojishindilia vyema,si wa kuomba kukutana nae kwani kamwe huwezi kumshinda,simba ndio usiseme fanya juu chini uwaone
Ombi maliasili mtembezeni Simba na chui mikoani
Mvinyo,mapadri huonja mvinyo kwa kuwa wanajua bahati take, wazungu wengi huonja bilauri moja kabla ya kwenda kazini na ULAya wanapambana kuzalisha zabibu,hapa Bongo hulimwa jijini Dodoma
Nilionja mvinyo kwa Mara ya kwanza nilipokuwa na miaka saba na uliletwa na Afisa Usalama Mzee Maganga mwenye Bahati gesti house Tabora jirani na police centre ilikuwa aina ya Dodoma wine tamu,inalewesha na nilikunywa glasi moja
Kupokea wazungu ikiwa watakutembelea,mwalimu Nyerere alipendelea Kuwaita wakubwa,wao husoma nyota na kujua nyakati,humfuata MTU hata kijijini ndani ndani kabisa, mapema kabisa kabla hajawa nyota kwa kuwa wao hujua, japo Bongo wapo Mfano George Ngelea afisa mifugo Meatu
Nb;viongozi tembeleeni Kikombo dodoma mkaone jina LA dodoma lilipoanzia sababu ya tembo kuzama ktk sehemu hiyo,mpaka leo IPO,
Instagram:kaukwaju