Kuwa mwanaharakati yataka moyo wa chuma

Kuwa mwanaharakati yataka moyo wa chuma

Vhagar

JF-Expert Member
Joined
Jun 8, 2015
Posts
20,774
Reaction score
40,446
Ningekuwa ni mimi na mdomo ningeufunga kabisa. Na Tanzania sirudi.
FB_IMG_1562577206915.jpeg
 
hawajui aliko!! wanamchokoa ili aurdi bila maandalizi halafu wanaojulikana.........
 
Sijui kwa nini nimekosa raha baada ya kuiona hii picha.
Ila KARMA will slap them! Na pengine tayari wameshaanza kulipia kwa walilotenda.
Yaani nimekaa karibia dakika kadhaa nahuzunika baada ya kuiona. Moyo umemhurumia sana.
 
Halafu mtu kwa ujasiri mkubwa na bila haya anautangazia umma kwamba wanamvua ubunge kwa sababu hawajui Lissu alipo!!!!!!!!?????
 
Halafu kuna ling"ombe fulani na upeo wake mdogo sana wa utambuzi linaitwa sijui matanga au kilio sijui msiba, kazi yake kumwaga ujinga tu mitandaoni. Maadamu anaeleweka kwa anajikomba kwake basi anafikiri dunia nzima wana akili shinda kama yeye
 
Hatujui alipo.
Aise ... Juzi kati nilisikia interview ya alikiba ..alikuwa ana ulizwa kama anafikiria kuwa mwana siasa ........

Alikiba alijibu kuwa hawezi ------ kwa sababu ili uwe mwana siasa yakupasa Usiwe na Moyo wenye Utu ..uachane na Ubinaadamu


Now baada ya kuiona hii picha na kubali ana Moja kwa moja na alicho kisema
 
Back
Top Bottom