rulama
Senior Member
- Sep 8, 2014
- 195
- 132
Nimekuwa nikifuatilia mijadala mbalimbali ya kimahusiano na inaonyesha kuwa vijana wengi mmu bado hamjaoa au kuolewa tatizo kubwa Nini ?
Fedha
Familia
Hatujapata tunaowapenda
Single parent
Au ngono siku hizi imekuwa rahisi kupatikana
Karibu kwenye mjadala.
Fedha
Familia
Hatujapata tunaowapenda
Single parent
Au ngono siku hizi imekuwa rahisi kupatikana
Karibu kwenye mjadala.