Huu mtandao umekuwa na shida sana hasa kwenye upande wa Airtel money.
Baya zaidi wana wahudumu ambao wana majibu rahisi sana ya tumelipokea tatizo lako ndani ya masaa 24 utapata majibu ila ni uongo mtupu.
Pindi unapowarudia baada ya hayo masaa 24 au zaidi wanasingizia wahudumu tupo wengi ngoja tulishughulikia tatizo lako, kwa kifupi mnakuwa mnaanza upya.
Baya zaidi wana wahudumu ambao wana majibu rahisi sana ya tumelipokea tatizo lako ndani ya masaa 24 utapata majibu ila ni uongo mtupu.
Pindi unapowarudia baada ya hayo masaa 24 au zaidi wanasingizia wahudumu tupo wengi ngoja tulishughulikia tatizo lako, kwa kifupi mnakuwa mnaanza upya.