Kuwa makini na hawa matapeli

Kuwa makini na hawa matapeli

Zekidon

JF-Expert Member
Joined
May 29, 2013
Posts
1,903
Reaction score
569
kuna style ya kupiga inaendelea kukua kwa kasi. kama si makini hutaigundua. ila ipo na inatumika.

ipo hivi. ukienda sehemu za starehe zile zenye hadhi kidogo. utakuta kundi kubwa limekaa kunywa vinywaji. katika hilo kundi kuna wanaume wachache lakini wanawake ni wengi zaidi.

wanaume wanakua karibu sana na baadhi ya wanawake katika kundi na kujifanya ni wapenzi wao.

kumbe lote hilo ni kundi la matapeli wanatafuta wakuwaumiza.

wanawake ni warembo haswa na huvaa nguo za gharama kubwa. simu ghali. na hutembelea usafiri wa bei.

kifupi wamejipanga.

utakuwa seduced na wale wanawake kama wameshakuona ni target. they will even send you drinks and invite you to join them.

mwanamke aliyekuvuta kwenye kundi ataanza kuilicit some sensitive info from you. jina kamili. kazi. unapoishi. from there lazima ulizwe.

ukienda sehemu kama hizo kua makini na watu kama hao. ni hatari.

ni hayo tu.
 
Khaaaaa

Kupenda vya bure kwawaponza

Mtu anaanzaje kuleta tu offa ilhali humjui hakujui halafu unapokea

Yelewiiii

Ila asante kwa info
 
Sasa inategemea maana kuna wengine nao wanaenda kwa ajili yankupiga
 
Hapo akutane na mpigaji mwenzie ngoma inakua draw
 
kazi kwenu wazee wa starehe. sie wa kunyumba aaah hatuna shida.


you aren't safe absolutely my friend...ata we unaeza vamiwa hme,ukakatwa masikio na hela wakachukua..
 
Back
Top Bottom