Na mkopo wako pia wakopeHao pesa x nimewakopa jana 12,000, ngoja niwakope na hao cashx
WamekataaNa mkopo wako pia wakope
OkhWamekataa
Halafu branch hata ukope laki tano, hawakupigii simu Wala nini, wewe mwenyewe tu uamue kuwalipa kwa muda unaotaka.Bora ya branch liba yao ni nafuu
UwongoHalafu branch hata ukope laki tano, hawakupigii simu Wala nini, wewe mwenyewe tu uamue kuwalipa kwa muda unaotaka.
Juzi nilikopa laki Saba nirejeshe ndani ya mwezi. Nataka nifike kiwango Cha kukopa laki nane nione Kama hawatanipigia simu.
Kuna siku niliwapigia kuwataarifu kwamba nitachelewa kulipa kwa siku tano, huyo mdada somebody Wella alinijibu.
"Usiwe na wasi wasi Kaka hatuna haraka kihivyo isitoshe mkopo wako Ni mdogo tu 300,000/"
Jaribu bro.Uwongo
Sawa najaribuJaribu bro.
Branch ni wazalendo, kwao mteja ni mfalme.
Mfalme habughuziwi.
App ya maana ni Branch,, kwingine utapigwa tusio lazima kwanini wawe waongo
Kumbe na wewe umelionaApp ya maana ni Branch,, kwingine utapigwa tu
Ila tz kuna vichwa maji sana🤣🤣🤣Mm pesa x wamenidai mpka wakachoka mm ndio nikaanza kuwatongoza wale mabinti mwishoe wakaniconnect na wahudumu wa kiume hao ni balaa ukiwatania kidogo wanakutukana 😂😂 kiufupi hizi mikopo nizamchongo tu
Wabongo hii tabia siyo nzuri kabisa, mnauwa biashara za wenzenu, hebu imagine ungekuwa ni wewe unafanyiwa hivyo ingekuwaje?Kila mtu anakula urefu wa kamba yake mfano mm niliwakopa pesa x 25k nikarudisha 31k mara ya pili nikakuta wameongeza dau nikakopa 75k hapo ndipo walipoleta miyeyusho nikaachana nao hata bila kuwalipa wanadai mpka wamechoka wakitoa vitisho na mm nawapa vitisho. Kwahyo umechelewa wamekuweza kaa kimya unatakiwa uwaotee kahela fulani alafu wateme hawana jipya. Kipendi cha nyuma nilienda vizuri sana na tala mwishoe wakaleta utapeli wa kijinga nikawakopa na sikuwalipa mpka leo kiufupi hawana hasara ila usisubiri wakuotee
HawafaiHawa wapuuzi nimewanyoosha kwenye app zao zote tatu. Nilikuwa mzalendo mara ya kwanza, ila walinichefua kwa kupiga na kutuma sms za vitisho na kejeli baada ya kuchelewa kulipa kwa siku moja.