ki2c
JF-Expert Member
- Jan 17, 2016
- 7,092
- 13,022
Promoter wewe na ukute upo hapa kwa kazi maalum.Kumbe na wewe umeliona
DAKIKA TATU NYINGI, MZIGO WA BRANCH UNAKUA UMEINGIA.
Promoter wewe na ukute upo hapa kwa kazi maalum.Kumbe na wewe umeliona
DAKIKA TATU NYINGI, MZIGO WA BRANCH UNAKUA UMEINGIA.
Promoter wewe na ukute upo hapa kwa kazi maalum.
Acha kukurupuka ukoko na mm siwezi anzisha mikopo ya mchongo bora ninunue bhange nivute tuWabongo hii tabia siyo nzuri kabisa, mnauwa biashara za wenzenu, hebu imagine ungekuwa ni wewe unafanyiwa hivyo ingekuwaje?
Unaanza kukopa kuanzia shiling ngapi?Bora ya branch liba yao ni nafuu
Watu wamechanganyikiwa ngumu kuamini watu wanaliwa kila sikuWajinga ndio waliwao
Wepi ni wakweli kwa hizo apps?Kwenye hizo app wakinkopeshaga huwa naanza kusubiri kutangazwa tu, sijawahi kuwalipa na siji kuwalipa.. songesha wenyewe wanaelekea kunyoosha mikono. Na hawa mshiko fasta natafuta namna
Kukopa harusi....lipa pesa za watu biashara hiyo...mtu akupe tu pesa sio baba au mama yako unadhani hatataka cha juu?Habari
Hawa watu waliokuja ghafla na app zao za kutoa mikopo kwasasa hapa tanzania mbona niwahuni sana
Nimekopa mara ya kwanza sh 25,000 kwa app moja inaitwa cashx kabla ya wiki moja haijafika naanza kupokea cm nirejeshe malipo Yao na riba ni kubwa,
Baada ya hapo nikalipa hela haikuongezeka nikaambiwa nikope ileile kama mwanzo wakati hapo nimelipa hela zaidi ya hiyo ninayokopa nimelipa riba zaidi ya mara 3 mkopo hauongezeki
Sasa nasemaje nasemaje siwalipi, kwasiku wanapiga simu zaidi ya mara 20 ***** zetu silipi, kwanza naenda kuwashtaki kwa kunilaghai kwamba nikilipa napewa mara mbili yake halafu nikilipa nikiwapigia hampokei simu
Wote niwale wale
Pesax
Cashx
Mkopo wako
Hao wote siwalipiView attachment 2660365View attachment 2660364View attachment 2660366
Tumia chakura mkuuWakuu , nimefika huku , sasa hizi mambo za ID ndo nini tena maana sisi wengine tuna namba za NIDA TUU vitambulisho bado au ndo nini tena wajameni ??,View attachment 2660583
Ulifanyaje mpaka ukaweza kukopa mpaka lak 7 mm bado npo kweny ten tuJaribu bro.
Branch ni wazalendo, kwao mteja ni mfalme.
Mfalme habughuziwi.
ChakuraaaaaaaaaaaaaTumia chakura mkuu
Usijidanganye hizo hua wanaandika tu pale juu, ila huwezi pewa zaidi ya 25k kama ndo unaanza, na hapo kupewa ni bahatiMie kukopa nimeandikiwa. Kiasi cha laki mbili mazeee ndani ya siku 90 niwe nimerudisha ila bado sija maliza usajili
Fanya ule basi inaonekana unanjaaaaaaChakuraaaaaaaaaaaaa
Nenda play storeNaomba link mkuu.!