Usitudanganye,muda huo wanakuwa wameshamaliza ujana,wamejijenga kimaisha,kiuchumi angalau wamesimama binafsi habari za kuchumia juani am not interested at all nataka kimvulini ili nkifika nkusaidie kubaki kimvulini,sasa below dat age ndo kwanza wanasubiri ajira wengine watoto wa mama hawajui hata kulima wanangu watakula nini,au nitalea watotot wangapi, Mume wangu huko uliko piga kazi me nakuombea ukiwa vizuri tutakutana