James Hungury
JF-Expert Member
- Jun 8, 2013
- 825
- 612
USIOMBE UPATE MWANAMKE WA KAWAIDA,HARAFU MWANAUME UWE HANDSOME,HARAFU MZAE MTOTO HANDSOME,MWANAMKE ATAJIPA LIKICHWA HILO
Hahaha ndio upate mmoja nini dadake!Hapa tutawajua mahandsome na wale wenye sura chachu Kama ukwaju
Mimi huwa naondoa stress, karibuusiku mwema bna sipo ok kuna mtu ananipa stress ila mungu anamuona
Yani hii ni sawa na demu kuwa na sura ya mvuto halafu flat screenUkitongiza unakubaliwa faster lakini binti akigundua tu hauna pesa anasepa faster,lakini wengine wanakupanga na wanaume wengine wenye pesa
Kabsa jamaa wanawake wengi sana wanajiuza unakuta linakaa tu alijishughulishi wala nn linataka ela lipate kwa mwanaume yan pumba kbsa.. Af utaskia o yani nikupe tu Af kunihudumia atanihudumia nani asa unajiuliza kama ni hvyo anatofaut gan na wanaojiuza mana usipompa atachepuka tu ka sio kukumwaga kbsaKwani anauza nini hadi niwe na pesa? ujue kuna wanawake wanajiuza bila hata wao kujijua kuwa wanajiuza.
Yani unakuta mwanamke anasema kabisa et mie mwanaume asiyekuwa na hela wa nini.Kabsa jamaa wanawake wengi sana wanajiuza unakuta linakaa tu alijishughulishi wala nn linataka ela lipate kwa mwanaume yan pumba kbsa.. Af utaskia o yani nikupe tu Af kunihudumia atanihudumia nani asa unajiuliza kama ni hvyo anatofaut gan na wanaojiuza mana usipompa atachepuka tu ka sio kukumwaga kbsa
Tafuta fwedha kwa nguvu zote, uhendasome peleka modelling. Ukiwa na pesa utawala hata wanne kwa mara mojaUkitongiza unakubaliwa faster lakini binti akigundua tu hauna pesa anasepa faster,lakini wengine wanakupanga na wanaume wengine wenye pesa
Hahaha...nimekuelewaUSIOMBE UPATE MWANAMKE WA KAWAIDA,HARAFU MWANAUME UWE HANDSOME,HARAFU MZAE MTOTO HANDSOME,MWANAMKE ATAJIPA LIKICHWA HILO