Kuvurugika mkutano wa kinana kigoma-tafsiri yangu

mchemsho

JF-Expert Member
Jun 8, 2011
3,212
867
Leo hii jioni katibu mkuu wa CCM Abdulrahman Kinana alikuwa na mkutano wa hadhara katika viwanja vya Mwanga center Kigoma mjini. Kinana ambae aliambatana na Nape na balozi Ali Karume kama walivyojitambulisha. Lengo la ziara ni kuimarisha chama. Msemaji wa kwanza alikuwa Balozi Ali karume kikubwa alichizungumzia ni muungano, akisisitiza msimamo wa chama wa serikali mbili, amepuuza waziwazi mapendekezo ya tume ya jaji warioba ambayo kimsingi ndio mawazo ya watanzania waliowengi ya serikali tatu, hakuwa na hoja ya maana ya kutetea serial I tatu, just because ni mapendekezo ya chama hotuba yake hiyo fupi haikuwa na msisimko wowote.
Alifutia Nape Nnauye... Kama kawaida yake hakuelezea yanayohusu chama chake, ni mashambulizi dhidi ya chadema, kubwa ni kwamba wafadhili wa chadema wameanza kuhoji ni kwanini wanatoa fedha nyingi na bado chadema haishindi chaguzi mbalimbali ref. Uchaguzi wa kalenga na chalinze, alipoanza kupanda ile mbegu ya ubaguzi wa ukabila, udini na ukanda akirefer watovu wa nidhamu wanavyoadabishwa ndani ya chama mvua kubwa ilianza kunyesha...na kama ilivyo kawaida ya viongozi wengi wa ccm hawaamini Mungu akasema wazee mpo, zuieni mvua.
Baada tu ya kauli ile pamoja na uzushi dhidi ya chadema aliokuwa ameanza kuropoka mvua ilianza kumwagika ya haja huku wazee ambao nape alitumaini wangezuia mvua (kufuru na kejeli) wakitimka mbio na kuwaacha viongozi tu wakiwa jukwaani peke yao.

Hoja yangu ni kwamba CCM na TBC kwa makusudi walizima mitambo yao wakati Tundu Lissu akihutubia na kuwanyima haki ya kikatiba raia wengi wa Tanzania ya kupata Habari na elimu, Mwenyezi Mungu amelipa mara moja huku Kigoma kwa kuachilia mvua kubwa sana ili kuzuia uzushi na chuki visisambae. Wao wana Pesa na TBC sisi tuna Nguvu ya umma na Mungu.
 
Sasa si ungesema tu kwamba "Mvua yasimamisha mkutano wa Kinana" badala ya kusema "Umevurugika"??
 
Uzi umetulia. Watanzania watakuwa zaid ya mbumbu kusikiliza na kuamini hotuba za Nape. Majimbo ya chalinze na Kalenga yalikuwa yao..bado wakatumia pesa, tume ya uchamguzi na police kuzima maamuzi ya wengi. 2015 is nearby...not far. Shinikizo letu kubwa tume huru na maboresho ya kitabu cha wapiga kura.
 
haha..Kweli Mungu wa Biblia anafanya yale tuliyokuwa tunayasoma.....wachawi kushindwa washa moto ili kafara iungue..ila namii alifanya moto ukatua toka mbinguni km radi...wachawi wamwangusha tena Kinana.
 
Tbcccm mlishaa iita hivyo sasa nn CHADEMA mnalia eti lisu kakatiwa mitambo

Kwanza mm sijui TBC ni shirika la umma au la maccm?maana kazi wanayofanya siwaelewi,hawana tofauti na hawa jamaa wakina NEPI na KINANA wanaopiga zumali kila kukicha hawana lolote na ndo maana mvua imenyesha ili kuzuia mkutano maana hawana sera zaidi ya porojo na ulojo tu,wababa wazima hawana hata la kusema kazi kuua tembo na mwenzake kazi yake ni kifila wenzake hasa wale madada poa.
 
Kweli bavicha vichwa vya panzi, mara hii mmeshasahau? Dk.slaa amekuja kigoma mwishoni mwa 2013 kutuliza upepo ndani ya chama baada ya ule mgogoro wa akina zito na waraka wao.

Nakumbuka mkutano wao mmoja mkoani kigoma ulivurugwa na mvua ikafikia hatua ya kuuhairisha, mbona hamkuuhusisha na hizo imani zenu za kishirikina hadi ije kuwa leo kwa ccm?

Kwel nyie empty set.
 
nepi na kinena hawana jipya, wajipendekeze ili wapate mkate wa kila siku. Shame on them. MAWAZIRI MIZIGO WAKO WAPIIIIIIIIII?:israel:
 
Leo hii jioni katibu mkuu wa CCM Abdulrahman Kinana alikuwa na mkutano wa hadhara katika viwanja vya Mwanga center Kigoma mjini. Kinana ambae aliambatana na Nape na balozi Ali Karume kama walivyojitambulisha. Lengo la ziara ni kuimarisha chama. Msemaji wa kwanza alikuwa Balozi Ali karume kikubwa alichizungumzia ni muungano, akisisitiza msimamo wa chama wa serikali mbili, amepuuza waziwazi mapendekezo ya tume ya jaji warioba ambayo kimsingi ndio mawazo ya watanzania waliowengi ya serikali tatu, hakuwa na hoja ya maana ya kutetea serial I tatu, just because ni mapendekezo ya chama hotuba yake hiyo fupi haikuwa na msisimko wowote.
Alifutia Nape Nnauye... Kama kawaida yake hakuelezea yanayohusu chama chake, ni mashambulizi dhidi ya chadema, kubwa ni kwamba wafadhili wa chadema wameanza kuhoji ni kwanini wanatoa fedha nyingi na bado chadema haishindi chaguzi mbalimbali ref. Uchaguzi wa kalenga na chalinze, alipoanza kupanda ile mbegu ya ubaguzi wa ukabila, udini na ukanda akirefer watovu wa nidhamu wanavyoadabishwa ndani ya chama mvua kubwa ilianza kunyesha...na kama ilivyo kawaida ya viongozi wengi wa ccm hawaamini Mungu akasema wazee mpo, zuieni mvua.
Baada tu ya kauli ile pamoja na uzushi dhidi ya chadema aliokuwa ameanza kuropoka mvua ilianza kumwagika ya haja huku wazee ambao nape alitumaini wangezuia mvua (kufuru na kejeli) wakitimka mbio na kuwaacha viongozi tu wakiwa jukwaani peke yao.

Hoja yangu ni kwamba CCM na TBC kwa makusudi walizima mitambo yao wakati Tundu Lissu akihutubia na kuwanyima haki ya kikatiba raia wengi wa Tanzania ya kupata Habari na elimu, Mwenyezi Mungu amelipa mara moja huku Kigoma kwa kuachilia mvua kubwa sana ili kuzuia uzushi na chuki visisambae. Wao wana Pesa na TBC sisi tuna Nguvu ya umma na Mungu.

Hiki n kipindi cha mvua. Hata mwexi januari mvua kubwa ilivunja kikao cha dr slaa.
juzi mechi ya azam pale mlandizi haikuchezwa kisa mvua.
 
Sasa si ungesema tu kwamba "Mvua yasimamisha mkutano wa Kinana" badala ya kusema "Umevurugika"??

Mkuu wangu upo? maana jukwaa la michezo sikuoni kabisa!

usijari JF kuna usajili mpya sijui ni wa dirisha dogo au kubwa basi mambo hapa siku hizi ni shagharabagala.
 
Mkuu wangu upo? maana jukwaa la michezo sikuoni kabisa!

usijari JF kuna usajili mpya sijui ni wa dirisha dogo au kubwa basi mambo hapa siku hizi ni shagharabagala.
Nipo Chifu.....Mambo yanakuwa mengi mpaka JF naingia kwa manati....

Nipo Mkuu wangu...
 
Leo hii jioni katibu mkuu wa CCM Abdulrahman Kinana alikuwa na mkutano wa hadhara katika viwanja vya Mwanga center Kigoma mjini. Kinana ambae aliambatana na Nape na balozi Ali Karume kama walivyojitambulisha. Lengo la ziara ni kuimarisha chama. Msemaji wa kwanza alikuwa Balozi Ali karume kikubwa alichizungumzia ni muungano, akisisitiza msimamo wa chama wa serikali mbili, amepuuza waziwazi mapendekezo ya tume ya jaji warioba ambayo kimsingi ndio mawazo ya watanzania waliowengi ya serikali tatu, hakuwa na hoja ya maana ya kutetea serial I tatu, just because ni mapendekezo ya chama hotuba yake hiyo fupi haikuwa na msisimko wowote.
Alifutia Nape Nnauye... Kama kawaida yake hakuelezea yanayohusu chama chake, ni mashambulizi dhidi ya chadema, kubwa ni kwamba wafadhili wa chadema wameanza kuhoji ni kwanini wanatoa fedha nyingi na bado chadema haishindi chaguzi mbalimbali ref. Uchaguzi wa kalenga na chalinze, alipoanza kupanda ile mbegu ya ubaguzi wa ukabila, udini na ukanda akirefer watovu wa nidhamu wanavyoadabishwa ndani ya chama mvua kubwa ilianza kunyesha...na kama ilivyo kawaida ya viongozi wengi wa ccm hawaamini Mungu akasema wazee mpo, zuieni mvua.
Baada tu ya kauli ile pamoja na uzushi dhidi ya chadema aliokuwa ameanza kuropoka mvua ilianza kumwagika ya haja huku wazee ambao nape alitumaini wangezuia mvua (kufuru na kejeli) wakitimka mbio na kuwaacha viongozi tu wakiwa jukwaani peke yao.

Hoja yangu ni kwamba CCM na TBC kwa makusudi walizima mitambo yao wakati Tundu Lissu akihutubia na kuwanyima haki ya kikatiba raia wengi wa Tanzania ya kupata Habari na elimu, Mwenyezi Mungu amelipa mara moja huku Kigoma kwa kuachilia mvua kubwa sana ili kuzuia uzushi na chuki visisambae. Wao wana Pesa na TBC sisi tuna Nguvu ya umma na Mungu.
mungu ndo amekwambia kuwa ameshusha mvua huko kuwalipa ccm na tbc kwa kuzima mitambo?basi kamuulize na sis tumefanyanya nin mpaka akatushushia mvua hata tukachelewa kufika majumbani?muulize wale watoto gongolamboto wamefanya nin mpaka awalipe mvua kubwa mpaka wakalala shule?
 
Ndugu zangu naomba kuuliza: Hivi Nape ni Katibu muenezi wa CCM au ni Muenezi wa propaganda, chuki na uzushi dhidi ya CHADEMA? Akumbuke kua CHADEMA kwenye chaguzi zote ndogo haikuchuana na ccm kama chama cha siasa bali na SERIKALI YA CHAMA CHAKE na hilo hata yeye analijua. Big up CHADEMA!
 
Back
Top Bottom