PAZIA 3
JF-Expert Member
- Jan 30, 2018
- 1,074
- 1,857
Huwa sielewi mantiki ya kuvunjwa kwa sanamu ya hayati,kipenzi chetu mwal JK Nyerere mkabara na jengo la CCM mwanza,nataka kumjua aliyependekeza kuvunjwa kwa sanamu ile,maana ilikuwa anachochea utalii,mwenye kumbukumbu na sababu za kuvunjwa,anijuze