Kuvuliwa ubunge Nassari huenda ni maandalizi ya kumvua ubunge Lissu

Ukiachilia mbali kuwa huenda labda dogo Nasari ameshanunuliwa kwa hiyo anatafuta namna ya kuunga mkono juhudi bila lawama sana

Lakini huenda move hii pia imefanywa kama maandalizi ya kuweka precedence ya kumvua Ubunge Lissu.

Ni jambo lililowekwa kimkakati ili hatimaye wakshamvua Ubunge Lissu waseme kuwa mbona hamkupiga kelele tulipomvua ubunge Nasari kwa utoro?, Sheria ni msumeno bwana unakata pande zote!

Hata hivyo watabugi sana wakidhani hoja hiyo ina mashiko, Lissu anajulikana kuwa ni mgonjwa, alipigwa risasi kazini, Kapandishwa ndege kwenda kwenye matibabu spika akiwa ameshiriki vikao vya namna ya kumtibu, Waziri wa Afya Ummy Mwalimu anajua na dunia nzima inajua.

Halafu Lissu sasa hivi ni international figure, Ukimfanyia dhuluma dunia nzima inakushangaa, inakuona dhalimu, unapaka nchi matope.

Hii sinema ya Nasari tumeishutukia, Haiwezi kutufumba macho hata kidogo!!
Kwanza Nassary nimfuasi wa Magu kama alivyo mnyika. Pili hafai kuwa mbunge maana hajui kuwakilisha na kuhamasisha yeye ni mbinafsi yeye aendelee kufuga nguruwe tu kule maji ya chai. Tatu,lissu kisheria anaweza vuliwa ubunge hivyo nivyema atetee kitumbua chake apate ruhusa ya barua kwa spika.
Nchi nyingi mf. Marekani,china,uingereza,urusi nk. zinafahamika kuwahi kuwamaliza watu wanaohatarisha utulivu na usalama wa nchi na uwepo wa serikali hivyo tusitarajie msaada saana kutoka mataifa makubwa sanasana vyombo vyao vinafki vya utangazaji na vyuo vikuu vyao vya kijinga.
Namsihi Lissu abadilike anaweza kuja kushika nafasi kubwa na kuleta hayo mabadiliko kinyume na hapo ataacha tuu hadithi za kusikitisha kwa wapenda harakati
 
-Living ideas of Plato said

''Politician by nature is political animal,,

-Hebu tujiulize wote,Ume fight ubunge,Uck some time hulali during election period,Umekubali kuweka bifu na opponent wako

-Afu kingine tuseme kwamba @nassarijoshua hajui sheria?
Kwamba utaratibu wa bunge ni huu na huuu?

-Niache mshara mnono wa a lot of millions out of marupurupu, Kuudhuria vikao ndoo nifeli?

-One who thinks beyond, Unajua tu kuna mambo yanaendelea hapo,Kama si kununuliwa na wale kada wanaitwa @OLDCITIZEN,

-Ukumbuke kwa anayefuatila politics za kibongo,Isha wahi zushwa kuwa anataka hamia CCM,Akakanusha,Kama ilivo kua kwa waitara,

-Walah,Mbele tutaona,Hii ni mbinu ipo wazi peupeeeeeeeee,Huyu si wetu tena,Utashangaa akaja gombea kwa tiketi ya CCM,Hizi Bongo politics hatareeeee!

Hili fumbo,Mfumbie mjinga clever......

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwanza Nassary nimfuasi wa Magu kama alivyo mnyika. Pili hafai kuwa mbunge maana hajui kuwakilisha na kuhamasisha yeye ni mbinafsi yeye aendelee kufuga nguruwe tu kule maji ya chai. Tatu,lissu kisheria anaweza vuliwa ubunge hivyo nivyema atetee kitumbua chake apate ruhusa ya barua kwa spika.
Nchi nyingi mf. Marekani,china,uingereza,urusi nk. zinafahamika kuwahi kuwamaliza watu wanaohatarisha utulivu na usalama wa nchi na uwepo wa serikali hivyo tusitarajie msaada saana kutoka mataifa makubwa sanasana vyombo vyao vinafki vya utangazaji na vyuo vikuu vyao vya kijinga.
Namsihi Lissu abadilike anaweza kuja kushika nafasi kubwa na kuleta hayo mabadiliko kinyume na hapo ataacha tuu hadithi za kusikitisha kwa wapenda harakati
Hakuna sheria yeyote inayoweza kutumika kumvua ubunge zaidi ya uhuni.
Sema China na Urusi ndio zinaua critics na sio Marekani na Uingereza.
Abadilike kwa kuunga juhudi?? Unadhani mtamnyamazisha kila mtu??
Hoja za kipumbavu.
 
Hakuna sheria yeyote inayoweza kutumika kumvua ubunge zaidi ya uhuni.
Sema China na Urusi ndio zinaua critics na sio Marekani na Uingereza.
Abadilike kwa kuunga juhudi?? Unadhani mtamnyamazisha kila mtu??
Hoja za kipumbavu.
Ukisema marekani na uingereza hawawaui critics nakuona mjinga wa mwisho unayeshikiwa akili na vyombo vya habari vya wazungu. Jitahidi kutizama walau Aljazeera utafunguka akili kidogo.
Jitambua na uelewe kubadilika sio tuu kuunga juhudi,unaweza badili mikakati na kuacha matusi na kejeli unapojenga hoja. Ataishia mateso ya Kiza besigje et al.
Mwisho Hoja za kipumbavu hujibiwa na mpumbavu mwerevu huzipuuza Ila hoja zako zakijinga nimeona nikujibu ili uache upumbavu
 
Ukiachilia mbali kuwa huenda labda dogo Nasari ameshanunuliwa kwa hiyo anatafuta namna ya kuunga mkono juhudi bila lawama sana

Lakini huenda move hii pia imefanywa kama maandalizi ya kuweka precedence ya kumvua Ubunge Lissu.

Ni jambo lililowekwa kimkakati ili hatimaye wakshamvua Ubunge Lissu waseme kuwa mbona hamkupiga kelele tulipomvua ubunge Nasari kwa utoro?, Sheria ni msumeno bwana unakata pande zote!

Hata hivyo watabugi sana wakidhani hoja hiyo ina mashiko, Lissu anajulikana kuwa ni mgonjwa, alipigwa risasi kazini, Kapandishwa ndege kwenda kwenye matibabu spika akiwa ameshiriki vikao vya namna ya kumtibu, Waziri wa Afya Ummy Mwalimu anajua na dunia nzima inajua.

Halafu Lissu sasa hivi ni international figure, Ukimfanyia dhuluma dunia nzima inakushangaa, inakuona dhalimu, unapaka nchi matope.

Hii sinema ya Nasari tumeishutukia, Haiwezi kutufumba macho hata kidogo!!

Hivi maana ya 'international figure' ni ipi?
 
Ukiachilia mbali kuwa huenda labda dogo Nasari ameshanunuliwa kwa hiyo anatafuta namna ya kuunga mkono juhudi bila lawama sana

Lakini huenda move hii pia imefanywa kama maandalizi ya kuweka precedence ya kumvua Ubunge Lissu.

Ni jambo lililowekwa kimkakati ili hatimaye wakshamvua Ubunge Lissu waseme kuwa mbona hamkupiga kelele tulipomvua ubunge Nasari kwa utoro?, Sheria ni msumeno bwana unakata pande zote!

Hata hivyo watabugi sana wakidhani hoja hiyo ina mashiko, Lissu anajulikana kuwa ni mgonjwa, alipigwa risasi kazini, Kapandishwa ndege kwenda kwenye matibabu spika akiwa ameshiriki vikao vya namna ya kumtibu, Waziri wa Afya Ummy Mwalimu anajua na dunia nzima inajua.

Halafu Lissu sasa hivi ni international figure, Ukimfanyia dhuluma dunia nzima inakushangaa, inakuona dhalimu, unapaka nchi matope.

Hii sinema ya Nasari tumeishutukia, Haiwezi kutufumba macho hata kidogo!!
Kudhani lissu ni international eti ndio hawezi fukuzwa ubunge ni makosa. Kwanza lissu uinternational wake ni upi. Amehojiwa hardtalk bbc na kwingine. Sana yeye ni kulalamika kapigwa risasi na mambo mengi ya uongo na madai yako out of proportion. Sheria yetu huji bungeni vikao vitatu unafukuzwa. Mshahara ushasimamishwa kinachofuata definetely ni kuvuliwa ubunge. Hao mabwanyenye zake wakitaka wampe ubunge kwao.
 
Naona cdddmmm mshaanza mihemko...kwani Lissu kuvuliwa ubunge ni dhambi?? Au yeye ndie alizaliwa awe mbunge milele au hakuna watu wa kua wabunge zaidi yake?? Halafu unaposema mgonjwa hivi umeshawahi ona wagonjwa wanazurula na magongo kwenye vituo mbali mbali vya tv huko ughaibuni unaweza sema huyo mgonjwa?? Yan kama speaker atasoma hapa naomba kesho amvue huyo tundu ubunge maana kamlea sana hadi leo yan yeye kawa mbunge wa kuichafua nchi na sidhani kama nchi hii tunawabunge wa aina hii..mi naona wamvue agombee huko huko Belgium.
 
Ukisema marekani na uingereza hawawaui critics nakuona mjinga wa mwisho unayeshikiwa akili na vyombo vya habari vya wazungu. Jitahidi kutizama walau Aljazeera utafunguka akili kidogo.
Jitambua na uelewe kubadilika sio tuu kuunga juhudi,unaweza badili mikakati na kuacha matusi na kejeli unapojenga hoja. Ataishia mateso ya Kiza besigje et al.
Mwisho Hoja za kipumbavu hujibiwa na mpumbavu mwerevu huzipuuza Ila hoja zako zakijinga nimeona nikujibu ili uache upumbavu
Wewe ndio mjinga wa mwisho, hao critics uliodanganywa na Aljazeera waliuawa ni akina nani??
Huko marekani wanatukana hadi matusi ya nguoni halafu wanapeta unasema eti Aljazeera?? hovyo kabisa wewe.
Ni nani aliyemcriticise Jiwe na serikali yake akabaki salama?? Au na zile nyaraka za makanisa zilikuwa na matusi??
Abadilike kimkakati kama akina Cheyo na Mrema?? Idiot
Mnafanya ushenzi mkiitwa washenzi mnasema mnatukanwa??
Kwa taarifa yako watu hawatishiki, Jiwe ndio asipoangalia ataishia kama akina Gbagbo or worst Gaddafi.
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Kudhani lissu ni international eti ndio hawezi fukuzwa ubunge ni makosa. Kwanza lissu uinternational wake ni upi. Amehojiwa hardtalk bbc na kwingine. Sana yeye ni kulalamika kapigwa risasi na mambo mengi ya uongo na madai yako out of proportion. Sheria yetu huji bungeni vikao vitatu unafukuzwa. Mshahara ushasimamishwa kinachofuata definetely ni kuvuliwa ubunge. Hao mabwanyenye zake wakitaka wampe ubunge kwao.
Idiot
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Niko poa kabisa namshukuru Mwenyezi Mungu , za kwako? Inashangaza sana Mrs Van kuona hawa wapumbavu ndani ya Serikali na ccm wakimruhusu huyu mwendawazimu, mwizi na fisadi kuendelea kufanya maovu chungu nzima nchini kama vile nchi yetu ikivurugika kiuchumi, kimshikamano na pia kwa upendo uliokuwepo miongoni kwa Watanzania watakaoathirika ni Chadema na wale wa vyama vingine vya upinzani.

Hii miaka mitatu tu ya huyo muovu nchi iko katika hali mbaya kiasi hiki sasa akimaliza miaka 10 hata Somalia si ajabu itakuwa na ahueni.


Za asubuhi ndugu BAK.
Kuna wakati nawaza hawa watu wa ccm ni binadamu wenzetu au ni aliens
 
Ha ha ha, unamfananisha Mahatma Gandhi na huyo jamaa Lissu? Aisee.
Kwani Gandhi alikuwa ni chuma au mwamba moto? Mbona mnafikiriankupitia makalio jamani kilicho mfanya Gandhimkuwa yeye yule ni misimamo yake , kwani mwalilimu nyerere aliwahi kuwa mtu wa tofauti hapa tanzania ? La hasha ni misimamo na falsafa zake siku nyingine bangi weka pembeni kwanza

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwani Gandhi alikuwa ni chuma au mwamba moto? Mbona mnafikiriankupitia makalio jamani kilicho mfanya Gandhimkuwa yeye yule ni misimamo yake , kwani mwalilimu nyerere aliwahi kuwa mtu wa tofauti hapa tanzania ? La hasha ni misimamo na falsafa zake siku nyingine bangi weka pembeni kwanza

Sent using Jamii Forums mobile app
Huyo Lissu kwa sasa kichaa kimempanda kichwani.
 
Wewe ndio mjinga wa mwisho, hao critics uliodanganywa na Aljazeera waliuawa ni akina nani??
Huko marekani wanatukana hadi matusi ya nguoni halafu wanapeta unasema eti Aljazeera?? hovyo kabisa wewe.
Ni nani aliyemcriticise Jiwe na serikali yake akabaki salama?? Au na zile nyaraka za makanisa zilikuwa na matusi??
Abadilike kimkakati kama akina Cheyo na Mrema?? Idiot
Mnafanya ushenzi mkiitwa washenzi mnasema mnatukanwa??
Kwa taarifa yako watu hawatishiki, Jiwe ndio asipoangalia ataishia kama akina Gbagbo or worst Gaddafi.
Weka jinalako kamili basi tujue wewe
kamanda mpambanaji!! Nyie ndowale mnapigwa na wake zenu mnalia kikike msijulikane ... Ingia mitandao ya kimataifa ya kijanja uone utaalamu wa marekani kuua watu wanaohatarisha amani ya nchi yao. Hawaui kama wajinga wenzio marisasi meeengi mchana kweupe na mtu anatoka hai kisha unakimbiza kamera /cctv!! Jifunze utajijua uko nyuma saana kiuelewa.
 
Weka jinalako kamili basi tujue wewe
kamanda mpambanaji!! Nyie ndowale mnapigwa na wake zenu mnalia kikike msijulikane ... Ingia mitandao ya kimataifa ya kijanja uone utaalamu wa marekani kuua watu wanaohatarisha amani ya nchi yao. Hawaui kama wajinga wenzio marisasi meeengi mchana kweupe na mtu anatoka hai kisha unakimbiza kamera /cctv!! Jifunze utajijua uko nyuma saana kiuelewa.
Umetoka kwenye aljazeera sasa unakuja na eti 'mitandao ya kimataifa ya kijanja', jinga kabisa wewe.
Unamjua anayehatarisha amani wewe?? Kukosoa ndio kuhatarisha amani ya nchi??
Kumbe na argue na mpumbavu, what a waste of space.
 
Kuna praise team humu hujibu hoja nzito kiuwepesi Sana, kumbuka kuwa machafuko huja baina ya muoneaji(lightious praise team) na waonewaji (light seekers) siku isiyo na jina hatuta jadili hivi kama tusipoheshimiana leo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ni mpumbavu tu atakaye unga mkono lissu kuvuliwa ubunge, lissu alipigwa risasi hadharani na wote tunajua
 
Back
Top Bottom