Tukio la Lissu kuvuliwa ubunge liwe somo kwa watumishi wengine katika kukidhi nyaraka muhimu ndani ya taasisi zote nchini

thetallest

JF-Expert Member
Oct 21, 2017
8,256
9,085
Baada ya Lissu kuvuliwa ubunge mengi yamesemwa, yanasemwa na yataendelea kusemwa, in a positive way or negative way kwa wahusika, kwa maana ya Lissu na Ndugai.

Wapo wanaokubaliana na kutenguliwa kwa ubunge wa Lissu, na wapo ambao hawakubaliani na kutenguliwa kwa ubunge wa Lissu, yote hiyo ni mitazamo ya wadau mbalimbali kwa kila mmoja jinsi alivyolipokea, na mjadala huu una afya kwa demokrasia nchini, kwani majibu na ukweli wa tukio hili hupatikana ndani ya mijadala hii inayoendelea jukwaani.

Nina uhakika uamuzi aliousoma Ndugai bungeni si wa kwake binafsi,kwani nijuavyo bunge lina sheria, kanuni na taratibu ilizojiwekea ,ambazo hutakiwa,kufuatwa na kutekelezwa na wabunge wote wa Jamuhuri ya muungano, ikiwemo na kile alichokisoma Spika Ndugai katika taarifa yake ya kumvua ubunge Tundu Lissu.

Jambo hili hupitia katika kamati ya uongozi ya bunge, kwa maana ya kupatiwa ufafanuzi wa kina ndani ya kamati,kamati ikijiridhisha ndipo azimio hilo hukabidhiwa Spika kwa mujibu wa taratibu walizojiwekea asome hadharani, Kwahiyo narudia kusema tena issue hii si ya Spika Ndugai peke yake.
Kumlaumu Spika haisadii chochote Katika kubatilisha maamuzi yaliyofikiwa na kamati ya uongozi ya bunge,ndio maana Lissu kasema atakwenda mahakamani kuutetea ubunge wake.

Wapo wanaodai kuna wabunge wengine hawapo bungeni kwa muda mrefu, lakini hatua hazichukuliwi, huu si utetezi, kwani inawezekana wabunge hao wanatimiza mashariti ,kanuni na taratibu zilizowekwa na bunge, nikimaanisha wana update taarifa zao kila mara japo hawapo bungeni .
Wapo wanaodai awamu zilizopita hazijawahi fukuza wabunge, niwaambie tu zama zinabadilika. hivyo watu wabadilike kulingana na zama zilizopo.

CHADEMA LAWAMANI TENA

Niseme Kitu kimoja, tukio la kuvuliwa ubunge wa Lissu chadema haiwezi kukwepa lawama hizi, (KUB) Mbowe ,katibu Mkuu Mashinji na kamati nzima ya uongozi ya chadema wanastahili lawama hizi wakiwa wa Kwanza kabisa Kabla ya Spika kulaumiwa.

Tukio la Kwanza lilikua ni la Mbunge Nassar wa Arumelu, linafanana na la Lissu,kukosekana kwa taarifa za udhuru wao bungeni officially ,je viongozi hawa walichukua hatua gani kuhakikisha taarifa za wabunge wao zinakua updated ndani ya bunge? ,au waliishia kulaumu kama wanavyolaumu sasa?, kuna shida ndani ya taasisi (chadema). hili hawawezi kulikwepa.
Chadema na serikali ya ccm wamekua wakifanya shughuli zao kwa kuviziana nani akosee mmoja akimbilie kwa wananchi kunanga mwenzie. Kupata kiki

Ndicho kilichofanya Lissu kuliwa timing kama alivyojaribu kuilia timing serikali ya ccm akiwa nje ya nchi kuongea na vyombo vya habari vya kimataifa (Uingereza, Marekani na Ujerumani) ili serikali iwekewe vikwazo vya kiuchumi .na alipokua akiongea alisisitiza nchi kuwekewa vikwazo vya kiuchumi Kitu ambazo ni hatari kwa serikali ilioko madarakani, anafikiri walimpigia vigeregere na kutabasamu?, walikua na wenyewe wakimlia timing. Kajaa!

Huruma hufanyika tu pale wote mnapoonyesha kuhurumiana na kusameheana na si vinginevyo.

Unapo amua kupambana na mtu, taasisi, jumuiya au kikundi flani huitajika kuwa smart enough, Kitu ambacho kwa sisi wanadamu ni kigumu kiasili, kwani tuna mapungufu .mapungufu hayo hasimu wako hutumia kama advantage kwake katika kukushughulikia ikibidi.

kilicho fanyika kwa Tundu Lissu liwe somo kwetu, sehemu zetu za ajira, ndani ya taasisi tunazozitumikia,kwa kufuata taratibu, kanuni, sheria zilizowekwa na sehemu unayoitumikia ili sintofahamu kama hii isijetupata, tusiishi kwa mazoea, tuishi kwa kanuni taratibu na sheria zilizopo. huruma huja baada ya tathimini.

Niseme kwa kumalizia bado Lissu anayo haki ya ku appeal Kuhusu maamuzi ya bunge, ni haki yake kwa mujibu wa katiba ,ili sisi maamuma tujue mbivu na mbichi
 
Baada ya Lissu kuvuliwa ubunge mengi yamesemwa, yanasemwa na yataendelea kusemwa, in a positive way or negative way kwa wahusika, kwa maana ya Lissu na Ndugai.

Wapo wanaokubaliana na kutenguliwa kwa ubunge wa Lissu, na wapo ambao hawakubaliani na kutenguliwa kwa ubunge wa Lissu, yote hiyo ni mitizamo ya wadau mbalimbali kwa kila mmoja jinsi alivyolipokea, na mjadala huu una afya kwa demokrasia nchini, kwani majibu na ukweli wa tukio hili hupatikana ndani ya mijadala hii inayoendelea jukwaani.

Nina uhakika uamuzi aliousoma Ndugai bungeni si wa kwake binafsi,kwani nijuavyo bunge lina sheria, kanuni na taratibu ilizojiwekea ,ambazo hutakiwa,kufuatwa na kutekelezwa na wabunge wote wa Jamuhuri ya muungano, ikiwemo na kile alichokisoma Spika Ndugai katika taarifa yake ya kumvua ubunge Tundu Lissu.

Jambo hili hupitia katika kamati ya uongozi ya bunge, kwa maana ya kupatiwa ufafanuzi wa kina ndani ya kamati,kamati ikijiridhisha ndipo azimio hilo hukabidhiwa Spika kwa mujibu wa taratibu walizojiwekea asome hadharani, Kwahiyo narudia kusema tena issue hii si ya Spika Ndugai peke yake.
Kumlaumu Spika haisadii chochote Katika kubatilisha maamuzi yaliyofikiwa na kamati ya uongozi ya bunge,ndio maana Lissu kasema atakwenda mahakamani kuutetea ubunge wake.

Wapo wanaodai kuna wabunge wengine hawapo bungeni kwa muda mrefu, lakini hatua hazichukuliwi, huu si utetezi, kwani inawezekana wabunge hao wanatimiza mashariti ,kanuni na taratibu zilizowekwa na bunge, nikimaanisha wana update taarifa zao kila mara japo hawapo bungeni .
Wapo wanaodai awamu zilizopita hazijawahi fukuza wabunge, niwaambie tu zama zinabadilika. hivyo watu wabadilike kulingana na zama zilizopo.

CHADEMA LAWAMANI TENA

Niseme Kitu kimoja, tukio la kuvuliwa ubunge wa Lissu chadema haiwezi kwepa lawama hizi, (KUB) Mbowe ,katibu Mkuu Mashinji na kamati nzima ya uongozi ya chadema wanastahili lawama hizi wakiwa wa Kwanza kabisa Kabla ya Spika kulaumiwa.

Tukio la Kwanza lilikua ni la Mbunge Nassar wa Arumelu, linafanana na la Lissu,kukosekana kwa taarifa zake, walichukua hatua gani kuhakikisha taarifa za wabunge wao zinakua updated ndani ya bunge? ,au waliishia kulaumu kama wanavyolaumu sasa?, kuna shida ndani ya taasisi (chadema). hili hawawezi kulikwepa.
Chadema na serikali ya ccm wamekua wakifanya shughuli zao kwa kuviziana nani akosee mmoja akimbilie kwa wananchi kunanga mwenzie.
Ndicho kilichofanya Lissu kaliwa timing kama alivyojaribu kuilia timing serikali ya ccm akiwa nje ya nchi kuongea na vyombo vya habari vya kimataifa (Uingereza, Marekani na Ujerumani) ili serikali iwekewe vikwazo vya kiuchumi .na alipokua akiongea alisisitiza nchi kuwekewa vikwazo vya kiuchumi Kitu ambazo ni hatari kwa serikali ilioko madarakani, anafikiri walimpigia vigeregere na kutabasamu?, walikua na wenyewe wakimlia timing. Kajaa!

Huruma hufanyika tu pale wote mnapoonyesha kuhurumiana na kusameheana na si vinginevyo.

Unapo amua kupambana na mtu, taasisi, jumuiya au kikundi flani huitajika kuwa smart enough, Kitu ambacho kwa sisi wanadamu ni kigumu kiasili, kwani tuna mapungufu .mapungufu hayo hasimu wako hutumia kama advantage kwake katika kukushughulikia ikibidi.

kilicho fanyika kwa Tundu Lissu liwe somo kwetu, sehemu zetu za ajira, ndani ya taasisi tunazozitumikia,kwa kufuata taratibu, kanuni, sheria zilizowekwa na sehemu unayoitumikia ili sintofahamu kama hii isijetupata, tusiishi kwa mazoea, tuishi kwa kanuni taratibu na sheria zilizopo. huruma huja baada ya tathimini.

Niseme kwa kumalizia bado Lissu anayo haki ya ku appeal Kuhusu maamuzi ya bunge, ni haki yake kwa mujibu wa katiba ,ili sisi maamuma tujue mbivu na mbichi
Huu nu uzi wako wa ngapi kuhusiana na suala la Lissu kuvuliwa ubunge?
 
Karamu ya damu anayo mamayo ilmtoka Wakati anakutoa tumboni, kama huna hoja ni bora ukapita kuliko kutafutia watu ban
Kumbe hata hiyo ni karamu kwenu, you're just pathological hole ready to open fire to anyone including your bleeding mom
 
Baada ya Lissu kuvuliwa ubunge mengi yamesemwa, yanasemwa na yataendelea kusemwa, in a positive way or negative way kwa wahusika, kwa maana ya Lissu na Ndugai.

Wapo wanaokubaliana na kutenguliwa kwa ubunge wa Lissu, na wapo ambao hawakubaliani na kutenguliwa kwa ubunge wa Lissu, yote hiyo ni mitizamo ya wadau mbalimbali kwa kila mmoja jinsi alivyolipokea, na mjadala huu una afya kwa demokrasia nchini, kwani majibu na ukweli wa tukio hili hupatikana ndani ya mijadala hii inayoendelea jukwaani.

Nina uhakika uamuzi aliousoma Ndugai bungeni si wa kwake binafsi,kwani nijuavyo bunge lina sheria, kanuni na taratibu ilizojiwekea ,ambazo hutakiwa,kufuatwa na kutekelezwa na wabunge wote wa Jamuhuri ya muungano, ikiwemo na kile alichokisoma Spika Ndugai katika taarifa yake ya kumvua ubunge Tundu Lissu.

Jambo hili hupitia katika kamati ya uongozi ya bunge, kwa maana ya kupatiwa ufafanuzi wa kina ndani ya kamati,kamati ikijiridhisha ndipo azimio hilo hukabidhiwa Spika kwa mujibu wa taratibu walizojiwekea asome hadharani, Kwahiyo narudia kusema tena issue hii si ya Spika Ndugai peke yake.
Kumlaumu Spika haisadii chochote Katika kubatilisha maamuzi yaliyofikiwa na kamati ya uongozi ya bunge,ndio maana Lissu kasema atakwenda mahakamani kuutetea ubunge wake.

Wapo wanaodai kuna wabunge wengine hawapo bungeni kwa muda mrefu, lakini hatua hazichukuliwi, huu si utetezi, kwani inawezekana wabunge hao wanatimiza mashariti ,kanuni na taratibu zilizowekwa na bunge, nikimaanisha wana update taarifa zao kila mara japo hawapo bungeni .
Wapo wanaodai awamu zilizopita hazijawahi fukuza wabunge, niwaambie tu zama zinabadilika. hivyo watu wabadilike kulingana na zama zilizopo.

CHADEMA LAWAMANI TENA

Niseme Kitu kimoja, tukio la kuvuliwa ubunge wa Lissu chadema haiwezi kwepa lawama hizi, (KUB) Mbowe ,katibu Mkuu Mashinji na kamati nzima ya uongozi ya chadema wanastahili lawama hizi wakiwa wa Kwanza kabisa Kabla ya Spika kulaumiwa.

Tukio la Kwanza lilikua ni la Mbunge Nassar wa Arumelu, linafanana na la Lissu,kukosekana kwa taarifa zake, walichukua hatua gani kuhakikisha taarifa za wabunge wao zinakua updated ndani ya bunge? ,au waliishia kulaumu kama wanavyolaumu sasa?, kuna shida ndani ya taasisi (chadema). hili hawawezi kulikwepa.
Chadema na serikali ya ccm wamekua wakifanya shughuli zao kwa kuviziana nani akosee mmoja akimbilie kwa wananchi kunanga mwenzie.
Ndicho kilichofanya Lissu kaliwa timing kama alivyojaribu kuilia timing serikali ya ccm akiwa nje ya nchi kuongea na vyombo vya habari vya kimataifa (Uingereza, Marekani na Ujerumani) ili serikali iwekewe vikwazo vya kiuchumi .na alipokua akiongea alisisitiza nchi kuwekewa vikwazo vya kiuchumi Kitu ambazo ni hatari kwa serikali ilioko madarakani, anafikiri walimpigia vigeregere na kutabasamu?, walikua na wenyewe wakimlia timing. Kajaa!

Huruma hufanyika tu pale wote mnapoonyesha kuhurumiana na kusameheana na si vinginevyo.

Unapo amua kupambana na mtu, taasisi, jumuiya au kikundi flani huitajika kuwa smart enough, Kitu ambacho kwa sisi wanadamu ni kigumu kiasili, kwani tuna mapungufu .mapungufu hayo hasimu wako hutumia kama advantage kwake katika kukushughulikia ikibidi.

kilicho fanyika kwa Tundu Lissu liwe somo kwetu, sehemu zetu za ajira, ndani ya taasisi tunazozitumikia,kwa kufuata taratibu, kanuni, sheria zilizowekwa na sehemu unayoitumikia ili sintofahamu kama hii isijetupata, tusiishi kwa mazoea, tuishi kwa kanuni taratibu na sheria zilizopo. huruma huja baada ya tathimini.

Niseme kwa kumalizia bado Lissu anayo haki ya ku appeal Kuhusu maamuzi ya bunge, ni haki yake kwa mujibu wa katiba ,ili sisi maamuma tujue mbivu na mbichi
wewe ushajulikana miongoni mwa wasiojulikana hakuna unachowaza kitachoiletea Tanzania maendeleo wala uwepo wako humu jf umeletwa kwa malengo maalumu but I want to tell you something my friend hapa ni Home of GT si size yako babaa!
 
wewe ushajulikana miongoni mwa wasiojulikana hakuna unachowaza kitachoiletea Tanzania maendeleo wala uwepo wako humu jf umeletwa kwa malengo maalumu but I want to tell you something my friend hapa ni Home of GT si size yako babaa!
Hili ndio tatizo ambalo mnalo, na mtateseka sana, kujiona mko perfect sana, na mawazo na fikra zenu ni za kimalaika ,ni ujinga,acheni watu waeleze hisia zao kama ambavyo mnajieleza,
Nini sasa maana ya uhuru wa kujieleza?
Ni jukumu lako kupuuza thread na kupita kimyakimya, ukijibu ina maana hoja imekuingia .
Tutaendelea kutofautiana mitizamo Mpaka siku yesu atakayorudi,

Inasikitisha wewe unaejiita GT kwa mistari miwili, pathetic
 
Hili ndio tatizo ambalo mnalo, na mtateseka sana, kujiona mko perfect sana, na mawazo na fikra zenu ni za kimalaika ,ni ujinga,acheni watu waeleze hisia zao kama ambavyo mnajieleza,
Nini sasa maana ya uhuru wa kujieleza?
Ni jukumu lako kupuuza thread na kupita kimyakimya, ukijibu ina maana hoja imekuingia .
Tutaendelea kutofautiana mitizamo Mpaka siku yesu atakayorudi,

Inasikitisha wewe unaejiita GT kwa mistari miwili, pathetic
Hocus pocus....your mental falculty is quite detrimeńtal.Team roho mbaya utafikir hamtakufa shenztype na jiw خدعس
 
thetallest ,

..nadhani Spika alitakiwa kusikiliza utetezi wa TL kabla ya kuchukua hatua ya kumfukuza.

..pia tume ya maadili ilitakiwa kumsikiliza TL kuhusiana na suala la kushindwa kujaza fomu ya maadili.
 
Baada ya Lissu kuvuliwa ubunge mengi yamesemwa, yanasemwa na yataendelea kusemwa, in a positive way or negative way kwa wahusika, kwa maana ya Lissu na Ndugai.

Wapo wanaokubaliana na kutenguliwa kwa ubunge wa Lissu, na wapo ambao hawakubaliani na kutenguliwa kwa ubunge wa Lissu, yote hiyo ni mitazamo ya wadau mbalimbali kwa kila mmoja jinsi alivyolipokea, na mjadala huu una afya kwa demokrasia nchini, kwani majibu na ukweli wa tukio hili hupatikana ndani ya mijadala hii inayoendelea jukwaani.

Nina uhakika uamuzi aliousoma Ndugai bungeni si wa kwake binafsi,kwani nijuavyo bunge lina sheria, kanuni na taratibu ilizojiwekea ,ambazo hutakiwa,kufuatwa na kutekelezwa na wabunge wote wa Jamuhuri ya muungano, ikiwemo na kile alichokisoma Spika Ndugai katika taarifa yake ya kumvua ubunge Tundu Lissu.

Jambo hili hupitia katika kamati ya uongozi ya bunge, kwa maana ya kupatiwa ufafanuzi wa kina ndani ya kamati,kamati ikijiridhisha ndipo azimio hilo hukabidhiwa Spika kwa mujibu wa taratibu walizojiwekea asome hadharani, Kwahiyo narudia kusema tena issue hii si ya Spika Ndugai peke yake.
Kumlaumu Spika haisadii chochote Katika kubatilisha maamuzi yaliyofikiwa na kamati ya uongozi ya bunge,ndio maana Lissu kasema atakwenda mahakamani kuutetea ubunge wake.

Wapo wanaodai kuna wabunge wengine hawapo bungeni kwa muda mrefu, lakini hatua hazichukuliwi, huu si utetezi, kwani inawezekana wabunge hao wanatimiza mashariti ,kanuni na taratibu zilizowekwa na bunge, nikimaanisha wana update taarifa zao kila mara japo hawapo bungeni .
Wapo wanaodai awamu zilizopita hazijawahi fukuza wabunge, niwaambie tu zama zinabadilika. hivyo watu wabadilike kulingana na zama zilizopo.

CHADEMA LAWAMANI TENA

Niseme Kitu kimoja, tukio la kuvuliwa ubunge wa Lissu chadema haiwezi kukwepa lawama hizi, (KUB) Mbowe ,katibu Mkuu Mashinji na kamati nzima ya uongozi ya chadema wanastahili lawama hizi wakiwa wa Kwanza kabisa Kabla ya Spika kulaumiwa.

Tukio la Kwanza lilikua ni la Mbunge Nassar wa Arumelu, linafanana na la Lissu,kukosekana kwa taarifa za udhuru wao bungeni officially ,je viongozi hawa walichukua hatua gani kuhakikisha taarifa za wabunge wao zinakua updated ndani ya bunge? ,au waliishia kulaumu kama wanavyolaumu sasa?, kuna shida ndani ya taasisi (chadema). hili hawawezi kulikwepa.
Chadema na serikali ya ccm wamekua wakifanya shughuli zao kwa kuviziana nani akosee mmoja akimbilie kwa wananchi kunanga mwenzie. Kupata kiki

Ndicho kilichofanya Lissu kuliwa timing kama alivyojaribu kuilia timing serikali ya ccm akiwa nje ya nchi kuongea na vyombo vya habari vya kimataifa (Uingereza, Marekani na Ujerumani) ili serikali iwekewe vikwazo vya kiuchumi .na alipokua akiongea alisisitiza nchi kuwekewa vikwazo vya kiuchumi Kitu ambazo ni hatari kwa serikali ilioko madarakani, anafikiri walimpigia vigeregere na kutabasamu?, walikua na wenyewe wakimlia timing. Kajaa!

Huruma hufanyika tu pale wote mnapoonyesha kuhurumiana na kusameheana na si vinginevyo.

Unapo amua kupambana na mtu, taasisi, jumuiya au kikundi flani huitajika kuwa smart enough, Kitu ambacho kwa sisi wanadamu ni kigumu kiasili, kwani tuna mapungufu .mapungufu hayo hasimu wako hutumia kama advantage kwake katika kukushughulikia ikibidi.

kilicho fanyika kwa Tundu Lissu liwe somo kwetu, sehemu zetu za ajira, ndani ya taasisi tunazozitumikia,kwa kufuata taratibu, kanuni, sheria zilizowekwa na sehemu unayoitumikia ili sintofahamu kama hii isijetupata, tusiishi kwa mazoea, tuishi kwa kanuni taratibu na sheria zilizopo. huruma huja baada ya tathimini.

Niseme kwa kumalizia bado Lissu anayo haki ya ku appeal Kuhusu maamuzi ya bunge, ni haki yake kwa mujibu wa katiba ,ili sisi maamuma tujue mbivu na mbichi

Hizo sheria ni kwa ajili ya wapinzani au wanaccm wasiomsujudia mkulu. Tunaona kinachofanywa na taasisi nyingi za kimamlaka kutofuata sheria ili kuibeba ccm na viongozi mbalimbali. Kama ni kufuata sheria leo hii tungeona nidhamu ya kweli kwa wote, sio hizo sheria za double standard. Sheria ya shughuli za vyama siasa iko wazi, hii kupiga marufuku mpaka 2020 ni sheria ya wapi? Andika kuhalalisha alichofanyiwa Lissu, lakini ukweli wa utekelezaji wa sheria ndani ya nchi hii kwa sasa unaangalia zipi zinamfurahisha rais fullstop.
 
Back
Top Bottom