Ricky Blair
JF-Expert Member
- Mar 13, 2023
- 391
- 874
Yaliyonikuta hadi najuta. Nimejikurupusha huko najifanya naenda kutalii hilo eneo nafika kwa kuvuka na pantoni naambiwa niwe na kibali sijui which is km 3k sawa ila naambiwa tena niwe na tour guide sijui au usafiri wangu mw bei inafika zaidi ya 100k nikasema mweh; nitaichekigi hiyo Kilwa kwa Google tu. Upuuzi mtupu.