Lema kweli haogopi polisi.Alianza wizi akiwa na umri mdogo sana na ameshakamatwa sana na polisi kiasi kwamba kwake ni kitu cha kawaida.Kinachomfanya akimbie sio kuogopa polisi ila ni kutengeneza drama ili apate umaarufu wa kisiasa.
Mkuu ZeMarcopolo inaelekea unamfahu vyema Mh. Lema hadi kufikia kujiamini kiasi hicho, punguza mun-kari, shambulia kwa awamu baada ya awamu, tupo jamvini.