Babumawe
JF-Expert Member
- Sep 12, 2014
- 2,556
- 2,560
Double standard au?
Mtoto wa ndugu yangu kachukua fomu ya kujiunga school moja hapa mjini ya Islamic (sitotaja jina) kaambiwa kuvaa hijabu ni lazima na kama hatoweza basi hatohitajika (yeye ni Mkristo).
Kwa upande mwingine mbona wanafunzi wanavaa hijabu shule za seminary na ikitokea shule ikikataza basi suala litafika mbali zaidi hadi serikalini kwamba itasemekana hiyo ni suala la imani.
Hii imekaaje wadau?
Mtoto wa ndugu yangu kachukua fomu ya kujiunga school moja hapa mjini ya Islamic (sitotaja jina) kaambiwa kuvaa hijabu ni lazima na kama hatoweza basi hatohitajika (yeye ni Mkristo).
Kwa upande mwingine mbona wanafunzi wanavaa hijabu shule za seminary na ikitokea shule ikikataza basi suala litafika mbali zaidi hadi serikalini kwamba itasemekana hiyo ni suala la imani.
Hii imekaaje wadau?