Tanzania mgonjwa aliyezirai na bullet wounds za uso hakimbizwi emergency room, anapelekwa polisi kuchukua PF3! Jinsi akili yetu inavyo run kinyume nyume!
Asawla alisema baada ya hapo hakujua kinachoendelea mpaka alipozinduka Kituo cha Polisi cha Malindi walipopatiwa PF3 na kupelekwa katika Hospitali ya Mnazi Mmoja walipopigwa picha za x-ray na kugundulika wana risasi mwilini.
By the way, mhariri, sio kila msomaji wako anaelewa PF3 ni kitu gani, jaribu kuelimisha umma ili mtu ajue akijeruhiwa njiani lazima akimbie akapate Police Form 3 kwanza kabla hajaenda hospitali. Press letu bana, sijui nifungue chuo cha journalism?