nachasudwa
Member
- May 17, 2015
- 72
- 34
Wanajanvi naomba msaada wa mawazo yenu,
Lipi sahihi kwa mume na mke kuunganisha vitega uchumi baada ya ndoa au kila MTU kubaki na vitega uchumi vyake na kushilikishana kimawazo na kusaidiana katika kukuza uchumi wa familia
Lipi sahihi kwa mume na mke kuunganisha vitega uchumi baada ya ndoa au kila MTU kubaki na vitega uchumi vyake na kushilikishana kimawazo na kusaidiana katika kukuza uchumi wa familia