Kuungama noma!!

Malunkwi

JF-Expert Member
Joined
Jan 19, 2011
Posts
338
Reaction score
80
Jamaa alienda kwa mchungaji kuungama...
Alianza hivi...... "Nihurumie Mungu wangu, nimetenda dhambi nyingi saana..."
Mchungaji: "Mwanangu, usihofu... Mungu ni mwenye huruma saana...
Atakusamehe tu..."
Muumini: "Mchungaji nimezini na wanawake wengi sana hapa kanisani...."
Mchungaji: "Usihofu kabisa mwanangu, utasamehewa tu... Ila ili usamehewe vyema inabidKE uwataje na useme umezini nao mara ngapi ili nao pia tuwaombee..."
Muumini: "Daaah, hapana mchungaji... Naona aibu saana, siwezi ongea..."
Mchungaji: "Owky, sawa basi.. Baada tu ya ibada kuisha tutatoka lango kuu wote na ukimuona yoyote uliyewahi zini naye we sema 'ALELUYA'... Kama umezini naye mara moja, utasema 'ALELUYA' mara moja... Kama ni mara tatu hivyo hivyo..."
Wakakubaliana na ibada ilipokwisha wote wakawa lango kuu la kutokea...
Waumini walipoanza kutoka, akapita mke wajirani yake mmoja...
Jamaa: "ALELUYA, ALELUYA, ALELUYA, ALELUYA,ALELUYA, ALELUYA, ALELUYA....
Mchungaji: "Mungu akusafishe na kukusamehe kabisa Mara saba zote mlizozini..."
Punde kidogo akatoka mke wa kiongozi wa kwaya taratiibu...
Muumini: "ALELUYA, ALELUYA, ALELUYA!!!!"
Mchungaji: "Mungu awasamehe saana mara tatu zote mlizozini..."
Mke wa mzee wa kanisa akapita huku kashika biblia...
Jamaa: "ALELUYA, ALELUYA, ALELUYA, ALELUYA,ALELUYA.....
Mchungaji: "Bwana akusamehe na kuwasafisha kabisa wote Mara 5 zote ulizozini naye..."
Mara akapita mke wa mchungaji...
Muumini: "ALELUYA, ALELUYA, ALELUYA, ALELUYA,ALELUYA, ALELUYA, ALELUYA, ALELUYA, ALELUYA, ALELUYA, ALELUYA, ALELUYA, ALELUYA, ALELUYA, ALELUYA, ALELUYA, ALELUYA, ALELUYA, ALELUYA, ALELUYA, ALELUYA, ALELUYA, ALELUYA, ALELUYA, ALELUYA, ALELUYA, ALELUYA, ALELUYA,
ALELUYA, ALELUYA, ALELUYA, ALELUYA, ALELUYA, ALELUYA, ALELUYA, ALELUYA, ALELUYA, ALELUYA, ALELUYA, ALELUYA, ALELUYA, ALELUYA, ALELUYA, ALELUYA, ALELUYA, ALELUYA, ALELUYA, ALELUYA, ALELUYA, ALELUYA, ALELUYA, ALELUYA, ALELUYA, ALELUYA, ALELUYA, ALELUYA, ALELUYA,
ALELUYA, ALELUYA, ALELUYA, ALELUYA, ALELUYA, ALELUYA, ALELUYA, ALELUYA, ALELUYA, ALELUYA, ALELUYA, ALELUYA, ALELUYA...
Kabla jamaa hajamaliza Mchungaji akamzibua KOFI na kumwambia...
"PUMBAVUUUUU... . Tena SHENZI kabisa!!! Na ulaaniwe kabisa SHETWANI mkubwa we!!! NaMUNGU asikusamehe milele na moto wa JEHANAMU ukufanye kuni kabisa mbwaaah weeeeh... Tena TOKAAAAA na nisikuone tena unakanyaga kanisani kwangu!
 
mchungaji aliyataka mwenyewe......... hakumsikiliza muumini alivyoomba asitaje
 
umetisha mkuu...dah.. Ahsante.
Yani nimechekaaa.
 

Ha ha ha ha ha! yani nimecheka kiasi ambacho sijawahi!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…