<br />
<br />
mada iko correct kuwa hakuna mwanadamu ambaye twapaswa kutubu kwake, kwani njia ni moja tu. Yesu Kristo.
Hawa mnaowaabudu na kuwaita baba (jambo ambalo hata Yesu alilikataa) ni makosa. Si ndo hawa ambao wanapelekwa the HEAGUE kwa kunajisi watoto?
Sasa huyu hawezi kuomba afowadiwe x pics?
Acheni jazba na kuwa realistic.