Kuungama kwa padri

Agano la kale watu walitakiwa wakikosa wakajieleze kwa kuhani na watoe sadaka kwake ili aitolee madhabahuni....mistari huwa simezagi bhana.... soma maeneo ya Walawi 7
 
kuna imani nyingi duniani.... ukisimamia yakwako utakuwa unafanya zuri sana... Ukishindwa utaingilia za wenzako.. and that is kinda gayish... ni kama mwanaume kujadili kuvaa gauni..
"na wala usimwite mtu baba" Yesu alikataza.. I hope huna baba ama humwiti baba.....ngumbalu ya biblia ni shida
"Na wala usimwite mtu mwalimu"..... shule una walimu na mwalimu wa sunday school..
 
Mkuu umefukua Uzi wa 2011
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…