JF Kwenu,
Wako Waheshimiwa Wabunge walioishia darasa la saba katika vyama vyetu vya siasa, wengine wanajua kujenga hoja ila wengine, tens wengi ni watu wa kuunga mkono hoja bila kufikiria. CCM inaongoza kwenye orodha.
Hawa ni wa CCM
1.Jaffar Juso-Paje
2.Hussein Nassor Amar
3.Haji Haji
4.Mwantumu Dau
5.Mbaraka Waziri-
6.Deo Sanga-Anapiga kazi
7.Hamis Yahya Machamo.
8.Steven Ngonyani(Prof.Maji Marefu)-Anapiga kazi vizuri
9.Joseph Kasheku Msukuma-Geita, Ana mdomo sana
10.Livingstone Lusinde Kibajaji-Ana mdomo sijapata kuona
11.Mary Chatanda-Alisababisha mtafaruku uchaguzi wa madiwani Arusha.
12.Boniface Mwita Bunda (V)
13.Boniventura Kiswaga -Magu
14.Ali Kesi -Nkasi, Ana domo balaa
15.Lamerck Airo-Rorya
16.Vedastus Mathayo-Musoma(M)
17.Jumanne Kishimba-Ana vijisenti
18.Saul Amon(S.H Amon)-Ana vijisenti
19.Aziz Abood-Ana majisenti, Marafiki wanasema amesoma Forest Hill Sec. Morogoro.
20.Frank Mwakajoka, CHADEMA Tunduma
21.Suleiman Bungara, CUF Kilwa Mjini.
Aidha wabunge wa CHADEMA wa kuteuliwa wana shahada kuliko wengi wa CCM.
Sent using
Jamii Forums mobile app