leonaldo JF-Expert Member Oct 26, 2014 2,585 3,179 Apr 18, 2018 #41 Hilo mbona lina miaka,kwa wabunge wetu maslahi ya vyama vya siasa mbele wananchi nyuma.
Lyamber JF-Expert Member Jul 24, 2012 11,716 18,753 Apr 18, 2018 #42 Ni upumbavu usio mithilika kuponda kitu na kuja kuunga mkono unajua tatizo mijamaa mingi ya ccm haina elimu hata wale ma prof nao hugeuka mambumbumbu
Ni upumbavu usio mithilika kuponda kitu na kuja kuunga mkono unajua tatizo mijamaa mingi ya ccm haina elimu hata wale ma prof nao hugeuka mambumbumbu
kigogo warioba JF-Expert Member Jul 11, 2015 6,048 9,392 Apr 18, 2018 #43 Hawa ni wanafiq wa kiwango cha shetani na utawaskia wameunga mkono upotevu wa tr 1.5 ambayo ni sawa na bajeti ya wizara ya maji kwa miaka miwiwi!
Hawa ni wanafiq wa kiwango cha shetani na utawaskia wameunga mkono upotevu wa tr 1.5 ambayo ni sawa na bajeti ya wizara ya maji kwa miaka miwiwi!
G gogo la shamba JF-Expert Member Mar 1, 2013 6,670 2,165 Apr 18, 2018 #44 kwa ufupi wanatakiwa waitwe wabunge wa ndioo!!!!!!!!!! mzee
kurlzawa JF-Expert Member Jan 23, 2018 16,703 20,606 Apr 18, 2018 #45 Wabunge wa kijani wengi vilaza hawajui hata maana ya kuunga mkono hoja shame on them