Pole sana ingawa hujatueleza wewe una umri gani? Umeshaolewa? Umeshazaa? inaonyesha una chango la uzazi wewe jaribu kwenda Hospitali kumuona Daktari ataweza kukupa dawa ili matatizo yako yaweze kumalizika. Au jaribu kutumia Dawa hii kama utaweza kupata Asali mbichi safi
ambayo inayotoka Mtini haijapikwa au kuchanganywa na kitu kila tumbo linavyo kuuma uwe unakunywa hiyo Asali kijiko kimoja kikubwa cha kulia wali jaribu kutumia hiyo Asali itakusaidia kuondosha hayo matatizo yako. au uwe unakunywa hiyo Asali kila siku Asubuhi kabla ya kula kitu
Asali kijiko kimoja na wakati wa usiku ukimaliza kula au wakati wa kwenda kulala unywe Asali kijiko kimoja kila siku kwa muda wa siku 40. Kazi yake hiyo Asali inasaidia kusafisha ini na figo kwenye Mwili wako jaribu utaniambia nini kinachoendelea katika mwili wako asante.